Nimemsikia JK akijinasibu kuwa alikuwa mwanamichezo ujanani mwake na sasa ni mpenzi wa michezo, rais wetu alikuwa anacheza mchezo gani? alicheza kwa level gani? kishule, kitaifa au kimataifa? alichukua medali gani au aliweka rekodi gani?
Kuna indoor games pia ! Kuna jamaa ananong'oneza kuwa kuna onbed games as well.
Kila mwanadamu ni mshiriki wa michezo.Hivyo rais wetu kusema hivyo hajakosea.