mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Mhe. Rais
Pole na majukumu
Naomba uzingatie ushauri wangu na watakaopenda kutumia njia hii kukushauri.
1.Jaza nafasi zilizowazi mpaka sasa za wajumbe ambao hawaripoti.
ZINGATIA.
a.Makundi yaliyokosa uwakilishi pamoja na kutuma maombi. Kama vile Wapentekoste PCT na wengineo kama baadhi ya madhehebu ya waislamu.
b.Makundi wanayotoka waliosalia kwenye orodha kama uliowateua hawajaripoti.
2.Hotuba ya kuzindua bunge izingatie muundo uliotokana na maoni ya wananchi kwa tume Jaji Warioba au hata ukirejea Nyalali na Kisanga.
Muundo unaokubalika ni Serikali 3 WANAOSEMA 2 Maoni yao yamefuata mchakato gani wa kitume?
Haiwezekani rasimu ya muundo wa Serikali 3 upige kura kuamua 3 au 2 wakati tume haijaandaa rasimu mbili za muundo wa Serikali 2 na 3 hivyo Bunge liamue kati ya 2au3 au kuingiza muundo wa serikali 2 kwenye 3.
3.Kama watataka serikali 2 wakujulishe uvunje bunge ukaunde tume nyingine ikusanye maoni ya serikali 1 au 2 na rasimu ya muundo 1au2 ndipo uliitishe upya
4.Zingatia pia yafuatayo ya Wana JF
Pole na majukumu
Naomba uzingatie ushauri wangu na watakaopenda kutumia njia hii kukushauri.
1.Jaza nafasi zilizowazi mpaka sasa za wajumbe ambao hawaripoti.
ZINGATIA.
a.Makundi yaliyokosa uwakilishi pamoja na kutuma maombi. Kama vile Wapentekoste PCT na wengineo kama baadhi ya madhehebu ya waislamu.
b.Makundi wanayotoka waliosalia kwenye orodha kama uliowateua hawajaripoti.
2.Hotuba ya kuzindua bunge izingatie muundo uliotokana na maoni ya wananchi kwa tume Jaji Warioba au hata ukirejea Nyalali na Kisanga.
Muundo unaokubalika ni Serikali 3 WANAOSEMA 2 Maoni yao yamefuata mchakato gani wa kitume?
Haiwezekani rasimu ya muundo wa Serikali 3 upige kura kuamua 3 au 2 wakati tume haijaandaa rasimu mbili za muundo wa Serikali 2 na 3 hivyo Bunge liamue kati ya 2au3 au kuingiza muundo wa serikali 2 kwenye 3.
3.Kama watataka serikali 2 wakujulishe uvunje bunge ukaunde tume nyingine ikusanye maoni ya serikali 1 au 2 na rasimu ya muundo 1au2 ndipo uliitishe upya
4.Zingatia pia yafuatayo ya Wana JF