Rais Kikwete na Juliana Shonza katika ubora wao

Khaa waziriiii [emoji2960][emoji2960][emoji2960].
Juzi Tu leo nyingine kama mpembaaa[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kumweka huyo muheshimiwa na na kundi la wadada hivyo, kweli lazima watu wachangie matibabu ya moyo.
 
Ila baharia wa Juliana shonza si wa mchezo mchezo,anapiga back 2 back za kufa mtu[emoji16][emoji16][emoji16] naibu wazir anashusha injini hatari

Itakuwa dem anapenda ka mchezo uhakika wa mimba sasa ndo inshu ya nani vyeo vingine haviji bure
 
Shonza amechelewa kuzaa ndio maana anapigiza mfululizo ili apumzike, wadada wengi huwa wanafanya hivi. Sema akiwa na mimba ndo ukorofi unazidi πŸ˜ƒ. Mkali kama pilipili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…