Rais Kikwete nichague mimi bunge la katiba bure, nitajigharamia kila kitu

Rais Kikwete nichague mimi bunge la katiba bure, nitajigharamia kila kitu

MZALENDOWAKWELIKWELI

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
331
Reaction score
210
Nina elimu ya kutosha, ni mzalendo ninayewiwa na ukombozi wa hali duni ya maisha ya watanzania inayosababishwa na mifumo ambayo ingeweza kurekebishwa na michango yenye tija ya wajumbe wa katiba.

Kwangu kupata nafasi ya ujumbe ni heshima kubwa kwa nchi yangu zaidi ya fedha....niko tayari kutumia mshahara wangu kumudu gharama za maisha kwa kipindi chote cha bunge.

Chondechonde Rais wangu yeyote asiyeridhika na hiyo posho ya laki 3 asikuumize kichwa, ajiuzulu na mi niko tayari kuingia katika historia ya kutunga katiba bure kabisa.
 
Waitwa nani wewe...?

Ama kwa hakika ni mzalendo halisi...

Ila wale jamaa hawatungi katiba, wanairejea rasimu na kuiboresha tu...
 
Nina elimu ya kutosha, ni mzalendo ninayewiwa na ukombozi wa hali duni ya maisha ya watanzania inayosababishwa na mifumo ambayo ingeweza kurekebishwa na michango yenye tija ya wajumbe wa katiba. Kwangu kupata nafasi ya ujumbe ni heshima kubwa kwa nchi yangu zaidi ya fedha....niko tayari kutumia mshahara wangu kumudu gharama za maisha kwa kipindi chote cha bunge. Chondechonde Rais wangu yeyote asiyeridhika na hiyo posho ya laki 3 asikuumize kichwa, ajiuzulu na mi niko tayari kuingia katika historia ya kutunga katiba bure kabisa.

Zito Kabwe amekataa kupokea posho,ameundiwa zengwe na matusi lukuki.Na wewe ukiwa na msimamo huo jiandae
 
Haha wewe ata bunge la nyuma ba cikupi nini kati ba
 
Back
Top Bottom