Ni kawaida kwa mgombea wa urais John Pombe Magufuli kutoa maelezo katika sentensi zinazopingana. Amefanya hivyo tena Musoma. Amesema kuwa amekataa kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongizwa kibunge na watu wanaomtukana, lakini muda mfupi baadaye akasema kuwa maendeleo hayana chama. Huo ni udhaifu wake.
Hapo havunji sheria. Lakini mwishoni akawa si tu anajipinga bali kama vile anavunja sheria za uchaguzi kwa kutoa amri kwa viongozi mbalimbali wa serikali kutoa fedha kwa ajili ya miradi, tena kwa kupinga maamuzi halali ya usimamizi wa fedha wa wilaya. Ni kama rushwa fulani hivi ya uchaguzi.
Wengine mnasemaje?
Hapo havunji sheria. Lakini mwishoni akawa si tu anajipinga bali kama vile anavunja sheria za uchaguzi kwa kutoa amri kwa viongozi mbalimbali wa serikali kutoa fedha kwa ajili ya miradi, tena kwa kupinga maamuzi halali ya usimamizi wa fedha wa wilaya. Ni kama rushwa fulani hivi ya uchaguzi.
Wengine mnasemaje?