Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 92
Wanajamvi,
Heshima mbele. Naomba niulize na ninaomba majibu maridhawa ili mimi na watanzania wengine tujifunze kupitia JF. Swali langu ni "nini hasa maana ya rais kuhutumia/kuongea na wazee wa Dodoma?"
Nimekuwa nikijiuliza hili bila majibu, kwa mfano kwa nini asiongee na wazee wa singida au rukwa au dar es salaam au mkoa mwingine. Nitafurahi zaidi kama nitapata majibu ya kuelimisha na si kubadili mjadala huu kuwa chanzo cha marumbano au sehemu ya chokochoko.samahani kama kuna mtu alishauliza swali hili, naomba link ya kufika kwenye swali hilo na majibu yake.
Nawasilisha.
Heshima mbele. Naomba niulize na ninaomba majibu maridhawa ili mimi na watanzania wengine tujifunze kupitia JF. Swali langu ni "nini hasa maana ya rais kuhutumia/kuongea na wazee wa Dodoma?"
Nimekuwa nikijiuliza hili bila majibu, kwa mfano kwa nini asiongee na wazee wa singida au rukwa au dar es salaam au mkoa mwingine. Nitafurahi zaidi kama nitapata majibu ya kuelimisha na si kubadili mjadala huu kuwa chanzo cha marumbano au sehemu ya chokochoko.samahani kama kuna mtu alishauliza swali hili, naomba link ya kufika kwenye swali hilo na majibu yake.
Nawasilisha.