Rais Samia Suluhu Hassan kusema kiongozi mhimili wa Bunge kuusema mhimili wa serikali kuu yaani taasisi ya Urais ni dalili za kutengeneza mazingira ya kushindana naye katika uchaguzi wa 2025 inaashiria hali ya sintofahamu ndani ya chama tawala.
Huku bunge la Tanzania kuwa la chama kimoja baada ya uchaguzi mkuu kufanyika 28 October 2020, na spika wake pia kutoka chama hicho hicho cha CCM maana yake Spika Job Ndugai kupitia caucus ya wabunge wa CCM ndani ya Bunge wapo upande mmoja na Spika Ndugai kupeleka ujumbe wa kutokuwa na imani na mwenendo wa serikali ya awamu ya sita.
04 January 2022
KWA HASIRA: RAIS SAMIA AMJIBU SPIKA NDUGAI KISOMI - "UNA STRESS za 2025, KELELE HAZINISHUGHULISHI"
Huku bunge la Tanzania kuwa la chama kimoja baada ya uchaguzi mkuu kufanyika 28 October 2020, na spika wake pia kutoka chama hicho hicho cha CCM maana yake Spika Job Ndugai kupitia caucus ya wabunge wa CCM ndani ya Bunge wapo upande mmoja na Spika Ndugai kupeleka ujumbe wa kutokuwa na imani na mwenendo wa serikali ya awamu ya sita.
04 January 2022
KWA HASIRA: RAIS SAMIA AMJIBU SPIKA NDUGAI KISOMI - "UNA STRESS za 2025, KELELE HAZINISHUGHULISHI"


