Insidious
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 654
- 895
Tangazo linatolewa kwamba Mheshimiwa Rais anakusudia kutwaa kwa manufaa ya umma ardhi ya ukubwa wa mita za mraba 233,000 zilizopo Manispaa ya Kinondoni na Ubungo Mkoa wa Dar es Salaam na inayohusisha makazi ya watu katika makutano ya Barabara ya Bagamoyo na Kunduchi (Mbuyuni), Sam Nujoma na Chuo Kikuu cha Ardhi Mkabala na Mlimani City na eneo linalomilikiwa na Manispaa ya Ubungo lililopo Simu 2000 na Boko Basiaya.
Mtu yeyote anayedai kuwa na haki yoyote katika ardhi hiyo anatakiwa kutoa maelezo na uthibitisho wa haki hiyo kwa Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi ndani ya majuma sita (6) kutoka tarehe ya tangazo hili kutolewa katika Gazeti la Serikali.
Source: Rais kutwaa ardhi
Mtu yeyote anayedai kuwa na haki yoyote katika ardhi hiyo anatakiwa kutoa maelezo na uthibitisho wa haki hiyo kwa Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi ndani ya majuma sita (6) kutoka tarehe ya tangazo hili kutolewa katika Gazeti la Serikali.
Source: Rais kutwaa ardhi