Rais, kwa afya ya demokrasia mteue ndugu Zitto na Mnyika kwenye Ubunge

Rais, kwa afya ya demokrasia mteue ndugu Zitto na Mnyika kwenye Ubunge

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,414
Reaction score
4,534
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo.
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Sasa kama unamjua kuwa mtu ni mnafiki unamuombeaje apewe shavu?
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Asiwateue. Ni wasaka tonge tu. Acha wapiganie kama wengine. Kama utawateua wawekee sharti la kurejea CCM.
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Mnyika anaendeshwa sana mihemko labda Zitto pamoja na unafiki wake ni kama saa mbovu kuna wakati inasema kweli.
 
Muacheni mama Samia afanye kazi anavyoona yeye itampendeza akianza kufanya kazi kwa kumfurahisha kila.mmoja hatafika popote
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Hawataki Fadhila wanataka ground ya Siasa iwe Sawa kila mtu aoneshe uwezo wake huo ujinga wakuteuana ni Lumumba

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Naunga mkono hoja ,ila nafasi 10 bado ngapi zimesalia? Maana JIWE alishatumia hizo nafasi kwa kina polepole,gwajima etc
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
unajiombea
 
Kwa afya ya Demokrasia mama alivunje Bunge aitishe Uchaguzi

Aipangue Tume ya Uchaguzi na aitishe Waangalizi wa Kimataifa
 
Mh. Rais Samia Suluhu Hassani kwanza kabisa nakupongeza kwa Urais, pili nakupa pole kwa kufikwa na msiba mzito wa Rais JPM. Baada ya hapo naomba uhusike na kichwa cha thread. Kwenye zile nafasi zako, naomba uwateue hao ama hata Mbatia ili wakasaidie bungeni. Ni hayo tu.

NB: Mimi sio mfuasi wa Zitto lakini kwa umahiri wake anaweza akasaidia nchi kinafikinafiki hivyo hivyo...
Tuludie kusikia mipayukopayuko tena kipindi hikiii??? Tena raisi wanguu asisubutu kabisaaa. Majimbo yenyewe walikogaragazwa bado wanashangilia, halafu eti wapewe ubunge?? Kwa yepi mazuri waliyonayo juu ya taifa letuu??
 
Tuludie kusikia mipayukopayuko tena kipindi hikiii??? Tena raisi wanguu asisubutu kabisaaa. Majimbo yenyewe walikogaragazwa bado wanashangilia, halafu eti wapewe ubunge?? Kwa yepi mazuri waliyonayo juu ya taifa letuu??
Turudie siyo Tuludie!!
 
Back
Top Bottom