Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
To catch a cat you will have to befriend it first, then feed it with a ton of weed to get it sleeping whiles u cut it head off !
Huyu Muhuni ameuweka Usalama wa Urusi Kwenye hali ya Hatari sana.
Bila shaka NATO wamejaza majeshi yao harakaharaka Ndani ya Ukraine .
The Guy neeeds to be neutralized !!
Of course BBC nao wamesema kuwa Raisi wa Belarus amewaomba watulieRais wa Belarus imebidi aingilie kati kumsadia Putin kuongea na Kiongozi wa Wagner kumsihi asiende kuishambulia Russia.
Kiongozi wa Wagner amekutana na Yevegny Prigozhin kumwomba asiwafaidishe Wamagharibu na kumtaka asielekee Moscow kumwondoa Putin. Rais huyu wa Belarus inaonekana ameombwa na Putin ajaribu kulimaliza jambo hili kidiplomasia.
Binafsi nilitamani sana hawa Wagner waende Russia wakapate kichapo kibaya sana. Wakati huo huo Putin alikuwa ameongea na wanajeshi wa Chachan waende nao kumpiga tough aepukane na uhuni wa hawa Wagner.
Wanaweza wasijaze majeshi ya Ardhi ila wakaongeza maafsa wengi zaidi .Nato hawezi jaza majeshi yao harakaharaka over one day attempt, si wajinga
Ila BBC waongo sanaTo catch a cat you will have to befriend it first, then feed it with a ton of weed to get it sleeping whiles u cut it head off !
Huyu Muhuni ameuweka Usalama wa Urusi Kwenye hali ya Hatari sana.
Bila shaka NATO wamejaza majeshi yao harakaharaka Ndani ya Ukraine .
The Guy neeeds to be neutralized !!
Wanaweza wasijaze majeshi ya Ardhi ila wakaongeza maafsa wengi zaidi .
Mkuu wenzetu wamejikita Kwa military specialists !!!.NATO hawez peleka Askari wa Ardhi Ukraine Kwa lengo la kupambana na Urusi ... Ni dhambi Kwa NATO Kuiangusha Urusi Kijeshi Moja Kwa Moja yaan NATO-RUSSO WAR .Sasa kujaza majeshi ukraine kuna maana gani? Maana jeshi ni numbers kama hakuna numbers hakuna meaning ya kuwepo hapo
What goes around comes around[emoji6]Rais wa Belarus imebidi aingilie kati kumsadia Putin kuongea na Kiongozi wa Wagner kumsihi asiende kuishambulia Russia.
Kiongozi wa Wagner amekutana na Yevegny Prigozhin kumwomba asiwafaidishe Wamagharibu na kumtaka asielekee Moscow kumwondoa Putin. Rais huyu wa Belarus inaonekana ameombwa na Putin ajaribu kulimaliza jambo hili kidiplomasia.
Binafsi nilitamani sana hawa Wagner waende Russia wakapate kichapo kibaya sana. Wakati huo huo Putin alikuwa ameongea na wanajeshi wa Chachan waende nao kumpiga tough aepukane na uhuni wa hawa Wagner.
Mkuu wenzetu wamejikita Kwa military specialists !!!.NATO hawez peleka Askari wa Ardhi Ukraine Kwa lengo la kupambana na Urusi ... Ni dhambi Kwa NATO Kuiangusha Urusi Kijeshi Moja Kwa Moja yaan NATO-RUSSO WAR .
Badala yake watapeleka Hawa Ma Afsa kwenda kuongoza uhaini wa Prigozhin kwa kua tayari lango la kuingiza Silaha kupitia Rostov lilikua tayari liko wazi.
Kurudisha Mamluki wake nyuma, Inaweza kua ni habari ya kuwashngaza wamagharibi, na pengine hawaamini kwakua ndio kitu walichokua wanakitafuta yaan kuivunja vunja Urusi kutokea Kwa Warusi wenyewe !!.
Hapa maswali yanabaki, Hii Move ya Jamaa ilikua na Mkono na Wamagharibi??.
Au Jamaa amepatwa na PTS ??.
Au Kweli malalamiko yake akaona yanapuuzwa?.liwalo na liwe?.
Kwa majeshi yake 25000, yangetosha Kuiangusha Urusi??.
All in All, Security services wa Urusi, wamepwaya katika hili, Hivi mtu anaamrisha majeshi yaanze kutoka Ukraine,yanaingia Urusi, bila hata Kushtuka??.
Mwisho, MSALITI HATAKIWI KUISHI
That's so true !!.The fact kwa west hawajashtuka kuhusu hili swala, sana sana walikuwa wanafuatilia kwa karibu tells a lot.
Namuelewa prigo kama kiongozi wa wagner, hakuna kitu kibaya kama kuwa treated kama step child wkt mnapigania nchi moja na adui ni mmoja.
My take is russia mod hawana love na wagner maana ana wa paint bad.
Prigo amepeleka message but also imeonyesha jinsi gani hii russia yenyewe haiko safe
Hskuna kitu kama hichoHuu ndio mwisho wa Putin.
Mungu ana makusudi na kila jambo.
Kuja mdau alileta uzi jana mfupi mno (kama wa sentensi mbili tu hivi) unaozungumzia hili indirectly, watu wakavamia haraka kumtukana lakini mi nilimuelewa vizuri sana. Na uzi wenyewe kwa sasa hauonekani sijui umefutwa au umepuuzwa tu.Mkuu wenzetu wamejikita Kwa military specialists !!!.NATO hawez peleka Askari wa Ardhi Ukraine Kwa lengo la kupambana na Urusi ... Ni dhambi Kwa NATO Kuiangusha Urusi Kijeshi Moja Kwa Moja yaan NATO-RUSSO WAR .
Badala yake watapeleka Hawa Ma Afsa kwenda kuongoza uhaini wa Prigozhin kwa kua tayari lango la kuingiza Silaha kupitia Rostov lilikua tayari liko wazi.
Kurudisha Mamluki wake nyuma, Inaweza kua ni habari ya kuwashngaza wamagharibi, na pengine hawaamini kwakua ndio kitu walichokua wanakitafuta yaan kuivunja vunja Urusi kutokea Kwa Warusi wenyewe !!.
Hapa maswali yanabaki, Hii Move ya Jamaa ilikua na Mkono na Wamagharibi??.
Au Jamaa amepatwa na PTS ??.
Au Kweli malalamiko yake akaona yanapuuzwa?.liwalo na liwe?.
Kwa majeshi yake 25000, yangetosha Kuiangusha Urusi??.
All in All, Security services wa Urusi, wamepwaya katika hili, Hivi mtu anaamrisha majeshi yaanze kutoka Ukraine,yanaingia Urusi, bila hata Kushtuka??.
Mwisho, MSALITI HATAKIWI KUISHI