Kamongo katika ujuha wake. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha upumbavu wako hadharani.
Amehojiwa na channel 10 mali ya ccm
KUNA UJUHA KAMA KUANDIKA USICHOKIJUA AMENUNULIWA UMEONJA HATA SENTI YAO WAKAKUJIBU WAMENUNULIWA
LOH
Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???Je hakukuwa na Taarifa kwamba miaka takribani 3 alikuwa hayupo kazini? ama mbadala wake ameshindwa kupatikana na ndo maana imeamriwa arudishwe kazini?
Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???Je hakukuwa na Taarifa kwamba miaka takribani 3 alikuwa hayupo kazini? ama mbadala wake ameshindwa kupatikana na ndo maana imeamriwa arudishwe kazini?
I have never doubted you bro!Hii auto correct Mkuu inanipa shida sana kwenye lugha zote mbili hasa nikiwa sina muda wa kuhakikisha nilichoandika kama kiko sawa. Kuna siku tulikuwa tunachat na mrembo humu pm tunaheshimiana sana basi nimeandika neno la Kiswahili liko sawa kabisa nishatuma ndiyo naona ni tusi kubwa sana nikabaki kuomba samahani na mrembo nimuelewa haikuwa shida.
I have never doubted you bro!
Hiyo haiondoi ukweli kwamba hapendi watu wasio wasukuma ama wasiotoka kanda ya ziwa!Hii haina ukweli huyo unayemsema Dr Mataragio ni Mkurya Toka kanda ya ziwa Mkoa wa Mara Wilaya ya Serengeti
Kwa mazoea kama yale ya kutengeneza tatizo halafu analitatua mwenyewe?! Pole sana, si ajabu wewe ndo ukapata shida zaidi na utawala wake kuliko mimi!!Huyu haendeshi nchi hii kwa Mazoea, mtapats taabu sana paka kumuelewa.
Usishangae ya ATCL inayofanya one of the most competitive business in the world lakini CEO wake ni Engineer ambae ana MBA ambayo hajawahi kuitumia tangia azaliwe na ndo amekuja kuanza kujifunza kuitumia ATCL!!Kiufupi pssf,nssf,nhc,tba etc wapewe mabosi wenye mind set za biashara na wenye exposure hao watoto wa wakulima sijui wanyonge wafanye kazi zisizo na impacts ya kuathiri uchumi
Usipozalisha matajiri maskini watapunguaje?
Dr. James Mataragio Director, Tanzania Petroleum Development Corporation
My background is as a geoscientist, and I have been one for over 15 years now. I started my career back here in Tanzania. After majoring in geology from the University of Dar es Salaam, I went straight into the mining sector, which was Tanzania’s keynote traditional industry in at that time. A year later, I relocated to Japan to study for my Master’s degree and subsequent to graduation, returned to Tanzania to work for Anglo American plc., a multinational mining corporation.
Shortly afterwards, I was invited to teach at the university here, a role which I fulfilled for less than a year before moving to the US to complete a PhD at the University of Missouri. After receipt of my doctorate, I was offered a job at Bell Geospace, where I spent a decade working on extractive industry projects – initially mining sector focused, then later on oil and gas sector related – across a wide range of countries including Canada, Brazil, Uganda and Kenya.
I’ve always maintained strong ties to my homeland, returning every year and cultivating strong ties both with the ministry and academia. When this position of managing the national oil company was first advertised, it was actually my friends and colleagues who encouraged me to apply for the position.
At first I was hesitant to accept bearing in mind that this would be a very political position and that the hydrocarbons industry is relatively new in Tanzania. At the same time, I was eager to return home and participate actively in the development of my country. In end, I applied and barely six months later found myself being appointed to the role by the president.
Source : http://www.energyboardroom.com/inte...r-tanzania-petroleum-development-corporation/
Ni sawa na fitina zilizomtoa Eng. Mramba wa Tanesco. He was also a smart guy. Nasikia siku hizi amefungua kanisa na ni mhubiri.He was a good guy...Jamaa watainjoy
Kwa mazoea kama yale ya kutengeneza tatizo halafu analitatua mwenyewe?! Pole sana, si ajabu wewe ndo ukapata shida zaidi na utawala wake kuliko mimi!!
Lakini kama ni kweli kwanini imechukua miaka mitatu? Pili ni kwanini unavyosema wewe hapa ni tofauti na kauli ya Mheshimiwa Rais aliyoitua leo Ikulu wakati ana pokea Dhahabu na fedha kutoka Kenya?Aliondolewa ili uchunguzi ufanyike. sasa imebainika hana kosa tatizo liko wapi? au haujui tofauti ya kufutwa kazi na kupisha uchunguzi???