Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

ila waislam tuuujiandae kwani huyu
mama ni mdini nasijui
karudishwaje ? hao ndo mambo ya
kitengo? mmh aya waislam
tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!

Mtaisoma kweli Kali mbona hata sie kipindi cha jk tumeisoma number
 

Hahahahaha,mtakoma..mwaka wenu kuisoma number,halafu leteni chokochoko kama kipindi cha jk ndo mtajua
 
Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.

Mtaumbuka nyie wanamajungu...ndalichako she is the best,hata kwa albadiri mlimshindwa
 
Kumbuka ule ulikuwa ni mtihani wa dini haina hata haja ya index no.
 
Safi ndalichako pia muweke msonnde wizara ua elimu katibu mkuu
 
Naamini ubora wa elimu unakuja na huyu ni mtu wa pili baada ya Makwetta, kipindi kingine chote we had no Ministers
 
Ila hapo Mali hai asili bora pangebaki palivyo kuliko huyo mteule
 
Duuuuu hapo kwa Ndalichako waislamu wamekwisha,mdiniiii kupita maelezo huyo mama.
 
Ndalichako ni mdini sana asipodhibitiwa tumekwisha wallah nakwambia
Mlisema mtaandamana kwenda kumg'oa NECTA, msoga akawasikia na kumtoa kiaina, sasa wenye akili wasio wa pwani pwani wamemrudisha na amepewa rungu zaidi. Andaeni maandamano kutoka msoga hadi wizarani.
 
Rais Magu umenipa zawadi ya sikukuu kwa kumteua Dr. JOYCE kuwa waziri wa Elimu. Kati ya teuzi zote hapa umelamba dume. Naamini Elimu yetu sasa itatoka ICU
 
Kuna daladala moja imeandikwa maneno haya "usiyempenda kaja" nadhani hii ina randana kabisa na huu uteuzi. Wasiye mpenda kaja!
 
Mungu amlinde. Wizara ya fedha pagumu sana hapo. RIP MGIMWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…