LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Duh hili shati LA babu mangula vipi?
Vazi, Mikono, mdomo - uumh!!! Mungu wa rehema amjalie uponyaji.Huyu mzee kuna kitu hakiko sawa kabisa
[emoji16][emoji16][emoji16]Aisee hizo pamba za mzee Mangula siyo mchezo
Pole mzee Mangula.. Pole sana..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee hizo pamba za mzee Mangula siyo mchezo
Hayo ya Membe kwa CCM sasa hivi ni historia. Chadema mpokeeni awabebee bendera ya Urais 2020!Mwaka 2015 mwezi Juni kutoka ktk maktaba online :
Maneno mazito ya Mzee Bernard C. Membe bado yanaishi mpaka leo kwa wanaCCM ambao wanaitakia mambo makubwa zaidi nchi hii wakielekea 2020, tumsikilize :