Rais Magufuli alichukua hatua mzuri ya kutofunga uchumi Tanzania

Rais Magufuli alichukua hatua mzuri ya kutofunga uchumi Tanzania

Bottas

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
1,817
Reaction score
1,142
It's Only a fool that doesn't change his mind, hapo mbeleni nilimponda Magufuli kwa jinsi alivyo handle hii pandemic ya Corona lakini sasa naona he was right all along; huu ugonjwa hauathiri Afrika Kama vile nchi za uzunguni,kwa Africa ni Kama homa tu.

Mfano angalia nchi Kama Somalia South Sudan na Burundi ambazo ndio shithole za Africa yaani mtu angetegemea watu huko wakufe Kama nzi lakini wapi maisha ina endelea Kama kawaida.

Nchi za uzunguni hazingefunga nchi zao kama maafa ingekuwa chache kama Africa. Kwa hivyo, Uhuru aache upuuzi ya kuiga wazungu na afungue nchi kama Magufuli. Ni aibu kuona Serikali ya Kenya iko so desperate kutaka visa ziongezeke hadi wana-fake number za wale wako positive. It's a good thing wameshindwa kufake vifo juu media za uku zitahoji kuona mwenye Miili zinazikwa.

Hauwezi kamwe kujustify kufunga uchumi kwa miezi tatu sasa sababu watu less than 50 wamekufa. Mafuriko yenyewe ime ua zaidi ya watu 250+ wanao julikana kwa sasa chini ya mwezi mmoja na kila mtu anaimba tu Corona.
 
Afadhali wewe umeonyesha kuwa na ufahamu wa mambo tofauti na wenzako wengine.

Ndio maana tunasema Uhuru atueleze swala ni corona au ana mipango yake mingine,ni hatari kwa wakenya wanaoshabikia bila hata kujua kipi ni kipi.
 
It's Only a fool that doesn't change his mind, hapo mbeleni nilimponda Magufuli kwa jinsi alivyo handle hii pandemic ya Corona lakini sasa naona he was right all along; huu ugonjwa hauathiri Afrika Kama vile nchi za uzunguni,kwa Africa ni Kama homa tu.

Mfano angalia nchi Kama Somalia South Sudan na Burundi ambazo ndio shithole za Africa yaani mtu angetegemea watu huko wakufe Kama nzi lakini wapi maisha ina endelea Kama kawaida.

Nchi za uzunguni hazingefunga nchi zao kama maafa ingekuwa chache kama Africa. Kwa hivyo, Uhuru aache upuuzi ya kuiga wazungu na afungue nchi kama Magufuli. Ni aibu kuona Serikali ya Kenya iko so desperate kutaka visa ziongezeke hadi wana-fake number za wale wako positive. It's a good thing wameshindwa kufake vifo juu media za uku zitahoji kuona mwenye Miili zinazikwa.

Hauwezi kamwe kujustify kufunga uchumi kwa miezi tatu sasa sababu watu less than 50 wamekufa. Mafuriko yenyewe ime ua zaidi ya watu 250+ wanao julikana kwa sasa chini ya mwezi mmoja na kila mtu anaimba tu Corona.
Lock down sio ya kudumu.Ni ya muda mfupi ili kudhibiti ugonjwa.

Aya hatukufanya lock down.Je takwimu kwa nini tufiche iwapo covid imeishaaa??
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.

Shemeji naona unataka nimrudishe dada yenu murang’aa ujue covid Africa haijaathiri sana lakini pia Magufuli yuko sahihi kutokufunga uchumi na ujue kabisa sisi Watanzania na Wakenya wananchi wetu kimaisha hawachekani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Shemeji naona unataka nimrudishe dada yenu murang’aa ujue covid Africa haijaathiri sana lakini pia Magufuli yuko sahihi kutokufunga uchumi na ujue kabisa sisi Watanzania na Wakenya wananchi wetu kimaisha hawachekani


Sent from my iPhone using JamiiForums

Halafu nimeona kwenye mitandao mumeandaa kufanya sherehe za kufa mtu Dar siku ya Jumapili na Jumatatu, disco na vilabu vyote vimejiandaa mkao wa kula, machangu wamejitayarisha yaani full mwendo wa kukufuru na kukiuka kila aina aya ushauri iwe wa kidini au kisayansi, hehehe nyie watu bana, najichekea tu.
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Hivi hao tunaowaona huko wanagombania misaada mpaka wengine wanaanguka ni matajiri?
Acha ujinga, lockdown in Africa was not scientific at all because it was not based on data but it was based on copy and paste!! More damage has been inflicted on people due to lockdown and baseless fear.
 
It's Only a fool that doesn't change his mind, hapo mbeleni nilimponda Magufuli kwa jinsi alivyo handle hii pandemic ya Corona lakini sasa naona he was right all along; huu ugonjwa hauathiri Afrika Kama vile nchi za uzunguni,kwa Africa ni Kama homa tu.

Mfano angalia nchi Kama Somalia South Sudan na Burundi ambazo ndio shithole za Africa yaani mtu angetegemea watu huko wakufe Kama nzi lakini wapi maisha ina endelea Kama kawaida.

Nchi za uzunguni hazingefunga nchi zao kama maafa ingekuwa chache kama Africa. Kwa hivyo, Uhuru aache upuuzi ya kuiga wazungu na afungue nchi kama Magufuli. Ni aibu kuona Serikali ya Kenya iko so desperate kutaka visa ziongezeke hadi wana-fake number za wale wako positive. It's a good thing wameshindwa kufake vifo juu media za uku zitahoji kuona mwenye Miili zinazikwa.

Hauwezi kamwe kujustify kufunga uchumi kwa miezi tatu sasa sababu watu less than 50 wamekufa. Mafuriko yenyewe ime ua zaidi ya watu 250+ wanao julikana kwa sasa chini ya mwezi mmoja na kila mtu anaimba tu Corona.
Bottas umeongea bonge la point.

Uhuru ajitafakari, anawaharibia uchumi wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo bwana! Tunasonga kizali zali tu mpaka tutatoboa!
Kujifungia ndani kunapunguza immunity (a scientific fact), hii ndiyo sababu wakati wa winter nchi za magharibi wanaumwa sana mafua.

Pia wenzetu, Kipindi cha baridi, jua linakuwa linacheza kwenye kimo cha 45° wakati kwetu jua huwa karibu kwenye 90° muda mwingi wa mwaka. Jua halitoi mwanga tuu bali hutoa UV rays ambazo huwa zinaua virus.
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Nchi nyingine zimeanza kuwa wana hiki wa data na maabara zinazopima ugonjwa zimeingiliwa kiutendaji.
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Hivi unajua kwamba pamoja na nchi Sweden kuwa nchi yenye uwezo zaidi ya TZ Mara zaidi ya 30 hawakufanya lockdown, curfew cessation au partial lockdown? Walichukuwa tahadhari tu kama TZ,na sio Kwamba ni umaskini ulisababisha?endelea na ujinga wako wakujidanganya eti TZ kilosababisha ni umaskini.
 
Hivi unajua kwamba pamoja na nchi Sweden kuwa nchi yenye uwezo zaidi ya TZ Mara zaidi ya 30 hawakufanya lockdown, curfew cessation au partial lockdown? Walichukuwa tahadhari tu kama TZ,na sio Kwamba ni umaskini ulisababisha?endelea na ujinga wako wakujidanganya eti TZ kilosababisha ni umaskini.

Wale wana uwezo wa kiakili zaidi yenu mara mia, hivyo wakiambiwa wazingatie namna ya kuhusiana kwa njia salama bila kusogeana wanafanya ipasavyo, hivyo hamna haja ya kuwafanya lockdown, nyie mliojichokea hapo Tandale leo mnataka mfananishwe na Sweden, mnabanana kwenye madaladala na kunukiana shombo.
 
Unachonga harafu ukitoka hapo unaenda kula chakula Cha watanzania kweli hakuna watu wasio na akili Kama Kenya . Hivi Kama na sisi tukiweka hiyo lockdown mutakula nini? ,Maana tutakua hatuzalishi vyakula tunavyovuna inabidi tule wanyewe tusiuze maana hatujui tutatoka lini ,Sasa wakenya wangekuwa watu wanaojitambua wangekua wanaomba kila siku kusiwe na lockdown Tanzania.mfano mdogo ninyi mumefunga mpaka inapata wiki 2 lakini Tanzania hamna athari zozote baada ya Tanzania kufunga cku moja tu kitunguu Kenya kimetoka Kwenye klo 1700 mpaka 3250 ,Sasa vuta picha ikiwa mwezi mmoja unazani utaweza hata kushika cm na kuingia humu jf kuandika upuuzi wako hapa.
Wale wana uwezo wa kiakili zaidi yenu mara mia, hivyo wakiambiwa wazingatie namna ya kuhusiana kwa njia salama bila kusogeana wanafanya ipasavyo, hivyo hamna haja ya kuwafanya lockdown, nyie mliojichokea hapo Tandale leo mnataka mfananishwe na Sweden, mnabanana kwenye madaladala na kunukiana shombo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga au kutokufunga kulipaswa kutokane na ushauri wa kisayansi, sio kwa kujichokea kisa umaskini. Tunazo 3rd world countries zinateswa kinyama na huu ugonjwa, hivyo tulikua sahihi na tuko sahihi hadi leo maana hamna toleo lolote la kisayansi linaonyesha kwanini hatufi kama nzi, hivyo tunatembelea bahati, sasa kwa ulimwengu wa sayansi hamna kitu kinaitwa "bahati".

Kwa Tanzania hamna cha kuiga pale, wao waligoma kufunga kisa umaskini wao, halafu wakaficha data, hiyo sio namna kabisa ya kushughulika na janga kama hili.
Sasa mbona tulipowasaidia kufunga mipaka kwa kuzuia malori yasije Tanzania, Uhuru aliomba msamaha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's Only a fool that doesn't change his mind, hapo mbeleni nilimponda Magufuli kwa jinsi alivyo handle hii pandemic ya Corona lakini sasa naona he was right all along; huu ugonjwa hauathiri Afrika Kama vile nchi za uzunguni,kwa Africa ni Kama homa tu.

Mfano angalia nchi Kama Somalia South Sudan na Burundi ambazo ndio shithole za Africa yaani mtu angetegemea watu huko wakufe Kama nzi lakini wapi maisha ina endelea Kama kawaida.

Nchi za uzunguni hazingefunga nchi zao kama maafa ingekuwa chache kama Africa. Kwa hivyo, Uhuru aache upuuzi ya kuiga wazungu na afungue nchi kama Magufuli. Ni aibu kuona Serikali ya Kenya iko so desperate kutaka visa ziongezeke hadi wana-fake number za wale wako positive. It's a good thing wameshindwa kufake vifo juu media za uku zitahoji kuona mwenye Miili zinazikwa.

Hauwezi kamwe kujustify kufunga uchumi kwa miezi tatu sasa sababu watu less than 50 wamekufa. Mafuriko yenyewe ime ua zaidi ya watu 250+ wanao julikana kwa sasa chini ya mwezi mmoja na kila mtu anaimba tu Corona.
Wafuasi wa wanjohi hawatokubaliana na wewe humu ila uzuri ni messages sent na wameshaisoma [emoji23]
 
Back
Top Bottom