Uchaguzi 2020 Rais Magufuli anakosea kwa kuamini kuwa anaweza wachagulia wabunge kwenye majimbo yao

Wazawa wa hii nchi ni woga sana...ila watu kuja wanaonekana mahili sana.
Inabidi kama Taifa tuondoe woga huo unaosema...........

Kwa kuwa haiwezekani kwa Rais wa nchi ndiyo atuchagulie wabunge wote wa majimbo nchini!
 
Kama ilivyokuwa uchaguzi sm na huu wajipitishe wenyewe ili vioja vinavyoendelea mitaani viwape wananchi maamuzi, maana upinzani ni uadui na fisiemu ndio wazalendo na watanzania kuliko watanzania wengine!!!
Binafsi sioni tija katika uchaguzi huu zaidi ya kujichosha na kuharibu rasilimali za nchi pasi sababu ikiwa dalili ndizo hizi...
Tumuombe Muumba atuvushe salama...
 
Inabidi kama Taifa tuondoe woga huo unaosema...........

Kwa kuwa haiwezekani kwa Rais wa nchi ndiyo atuchagulie wabunge wote wa majimbo nchini!
Ndio keshaanza kuwachagua hivyo...
Upinzani ni uadui...
Nina shaka tutaona makuu kuliko chaguzi zote zilizopita... ninahofia ya kina Mawazo na wengineo R.I.P kuzidi.
Muda ni mwamuzi mzuri sana..
 
watanzania hii dharau tumeijenga wenyewe na magu ineshamkolea. amejifanyia mengi ikiwa ni pamoja na kuvunja katiba,ndio kwanza bunge likaweka azimio la kumpongeza. hapo unategemea nini
 
Muda wake utafika naye atatoka madarakani lakini tutakuwa tumeteseka sana ndani ya huu utawala wake pia tutakuwa tumejifunza kuwapa uongozi watu wa namna hii.
Ni rahisi kusema hivyo lakini matendo yanasema vingine? Tuambiane ukweli, ni wangapi wanajifanya hawaoni natural arrogance ya Lissu huku wakitaka awe Rais?
Arrogant man + absolute power = ?
You do the math.
 
Ccm waliingia choo cha kike kumpa huyu mzee uenyekiti wa taifa wakati hakuwahi kuwa hata mwenyekiti wa wilaya. Kazi wanayo
 
Kuna wapuuzi watakuja hapa kumtetea. Subirini muone maajabu ya watanzania hawa
Hili ni moja ya taifa ambalo raia wake Wana upeo mdogo sana wa kufikiri, chukulia mfano wa Kabudi , Bashiru na wapuuzi wengine
 
Ni rahisi kusema hivyo lakini matendo yanasema vingine? Tuambiane ukweli, ni wangapi wanajifanya hawaoni natural arrogance ya Lissu huku wakitaka awe Rais?
Arrogant man + absolute power = ?
You do the math.
ww unazani kulikuwa na humuhimu gani jana kuwaka kile kikao? wakati tunajuafika kabisa hakuna mtu mwengine alieyechukua form dhidi yake hela walizotumia jana situngezisave tufanye mambo mengine?
 
Tarajia bunge dhaifu kuliko hili lilopita... Yaan bunge dhaifu litashindwA kuihoji serikali...

Na hapo mwisho wa CCM ndio utakuwa umeshawadia...
CCM haifi kwa utaratibu wa sasa kuelekea chama kimmoja.Lakini mashindano yatahamia huko huko CCM kuwania nyadhifa hizo hizo.
 
Tarajia bunge dhaifu kuliko hili lilopita... Yaan bunge dhaifu litashindwA kuihoji serikali...

Na hapo mwisho wa CCM ndio utakuwa umeshawadia...
Huenda ni mkakati Maalum ili Ajaenda ya kumfanya awe Lifetime President isipate vikwazo pindi ikiwasilishwa Bungeni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…