Rais Magufuli anasema Watanzania tumechelewa sana hivyo inabidi tukimbie kweli kweli. Je, tupo tayari kama Taifa?

Rais Magufuli anasema Watanzania tumechelewa sana hivyo inabidi tukimbie kweli kweli. Je, tupo tayari kama Taifa?

Super human

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2015
Posts
1,147
Reaction score
749
Kuchelewa ni kweli tumechelewa lakini swali tunajua tunakokimbilia? Unaweza kudhani unawahi kumbe unakimbia kurudi nyuma.

Kwanini?

1. Kuna viashiria vingi kuwa uchumi unaporomoka na sipendi niviorodheshe maana vinaongelewa kila siku.

2. Democrasia, hii ni nchi sio familia ya nyumbani kwa MTU, umeheshimiwa tu kupewa dhamana ya kutusikiliza na kufanya maslahi ya wengi.

3. Kazi pasipo utaratibu hua ni vurugu. Mikataba inayovunjwa bila procedures haitatugharimu?

4. Dhamira ya ushindi wa kweli hutafuta ushindi wa jamii sio sifa za mtu mmoja. Je, hayupo ajitukuzae? MF. Mzee alitawala ila hakutukana hovyo, aliwaheshimu watz wa enzi hizo japo hawa kua na elimu.

Alielezea faida na madhara ya alichotaka kufanya wala sio vitisho na kejeli. Wakati fulani alikiri udhaifu na kuomba waliofuata kuchukua Mazur na kuyaacha mabaya.

Uongozi wa nchi kinachotakiwa ni kujikana nafsi yako, kukana mahaba ya CHAMA, NDUGU, FAMILIA hata mapenzi yako ishi kwa ajili ya unaowaongoza wengi wakitaka waruhusu. Hata kwenye dini wakristo Biblia inaonyesha Mungu ndie baba wa Democrasia hakutaka wana wa Israel wawe na mfalme ila walipolazimisha aliwapa Saul. Sembuse sisi binadam?

Nakubaliana na baadhi ya hatua ila nimalizie Kwa kusema Kwa mwendo huu hatuwezi fika Kwa sababu ya migawanyiko, hofu, mashaka na chuki.
 
Anajisemesha tu mbona hashirikishi?yeye ndo kila kitu ukimkosoa au kushauri unapigwa risasi 38 manissan yanajazwa mafuta hadi Dodoma wauaji wanalipiwa gharama zote chakula malazi pombe nk bashite ndo ana supervise halafu inarudi inabidi tuchange matibabu
 
Mh! Huyu alikuwa Serikalini zaidi ya miaka 20 busy kukwapua nyumba za Serikali na kugawa na kuhonga, kukaa kimya kwenye ufisadi mbali mbali ikiwemo rada, EPA, Richmond, IPTL, mikataba ya madini, mikataba ya gesi, kukwapua bilioni za wahanga, kununua kivuko uozo, tayari ameshaanza kujichotea trillions bila idhini ya Bunge utadhani anazitoa mfukoni mwake!

Akimbie mwenyewe huyu asije kuingiza nchi yetu kwenye majanga makubwa sana, tayari kuna dalili kubwa za majanga makubwa nchini ikiwemo uhuru wa habari kuminywa, kudharau Bunge, katiba na sheria za nchi.

Sasa Watanzania wanatekwa, kuteswa na kuuawa kwa kumkosoa tena vitu vya kweli kabisa na kuitwa wasaliti na wachochezi. Hofu na taharuki zimetanda nchi nzima kutokana na chuki zake za kutisha, vitisho kila kukicha na visasi.

Hafai huyu hafai kabisa Kikwete na Mkapa wametuletea nchini balaa kubwa sana.
 
Mh! Huyu alikuwa Serikalini zaidi ya miaka 20 busy kukwapua nyumba za Serikali na kugawa na kuhonga, kukaa kimya kwenye ufisadi mbali mbali ikiwemo rada, EPA, Richmond, IPTL, mikataba ya madini, mikataba ya gesi, kukwapua bilioni za wahanga, kununua kivuko uozo, tayari ameshaanza kujichotea trillions bila idhini ya Bunge utadhani anazitoa mfukoni mwake!

Akimbie mwenyewe huyu asije kuingiza nchi yetu kwenye majanga makubwa sana, tayari kuna dalili kubwa za majanga makubwa nchini ikiwemo uhuru wa habari kuminywa, kudharau Bunge, katiba na sheria za nchi.

Sasa Watanzania wanatekwa, kuteswa na kuuawa kwa kumkosoa tena vitu vya kweli kabisa na kuitwa wasaliti na wachochezi. Hofu na taharuki zimetanda nchi nzima kutokana na chuki zake za kutisha, vitisho kila kukicha na visasi.

Hafai huyu hafai kabisa Kikwete na Mkapa wametuletea nchini balaa kubwa sana.
sijonze ameishaanza nenepa mahavu
 
Ogopa sana mtu mwenye uwezo wa kusimama na kusema tunadukua mawasiliano yako jambo ambalo ni illegal ila for some reason linatamkwa utasema ni jambo zuri, na watanzania vilaza unasikia wakishangilia. Hahaha Ukisikia kuchanganyikiwa ni huku. Ovyo kabisa.

Yaani ni sawa na mtu kasimama na kusema nimeua alafu mkaona poa tu kua kauliwa kwa ajili ya maendeleo.

Honestly sielewi akili za wabongo hasa wa level ya chini, ukosefu wa elimu kitu kibaya sana. These guys are too stupid inasikitisha.
 
Honestly sielewi akili za wabongo hasa wa level ya chini, ukosefu wa elimu kitu kibaya sana. These guys are too stupid ibasikitisha.
Ogopa sana mtu mwenye uwezo wa kusimama na kusema tunadukua mawasiliano yako jambo ambalo ni illegal ila for some reason linatamkwa utasema ni jambo zuri, na watanzania vilaza unasikia wakishangilia. Hahaha Ukisikia kuchanganyikiwa ni huku. Ovyo kabisa.

Yaani ni sawa na mtu kasimama na kusema nimeua alafu mkaona poa tu kua kauliwa kwa ajili ya maendeleo.
.....
Kweri kweri bandugu, ibasikitisha.

Wewe watu wako wako wapi? wapumbavu kweri kweri.

Link. Video: Hasira za Rais Magufuli kwa "watu wazembe"
 
Mh! Huyu alikuwa Serikalini zaidi ya miaka 20 busy kukwapua nyumba za Serikali na kugawa na kuhonga, kukaa kimya kwenye ufisadi mbali mbali ikiwemo rada, EPA, Richmond, IPTL, mikataba ya madini, mikataba ya gesi, kukwapua bilioni za wahanga, kununua kivuko uozo, tayari ameshaanza kujichotea trillions bila idhini ya Bunge utadhani anazitoa mfukoni mwake!

Akimbie mwenyewe huyu asije kuingiza nchi yetu kwenye majanga makubwa sana, tayari kuna dalili kubwa za majanga makubwa nchini ikiwemo uhuru wa habari kuminywa, kudharau Bunge, katiba na sheria za nchi.

Sasa Watanzania wanatekwa, kuteswa na kuuawa kwa kumkosoa tena vitu vya kweli kabisa na kuitwa wasaliti na wachochezi. Hofu na taharuki zimetanda nchi nzima kutokana na chuki zake za kutisha, vitisho kila kukicha na visasi.

Hafai huyu hafai kabisa Kikwete na Mkapa wametuletea nchini balaa kubwa sana.
Soma habari ya leo kuhusu Bombardier na kesi iliyopelekwa na Boeing. UK na Canada walifadhili ili bei ipungue ndo hapo Pombe akashauriwa nadhani kununua. Pamoja na kununua bei chee bado tunadaiwa na kwa faida ya nani? wangapi wanatumia ndege nchini? Alitaka akimbie au aruke sasa anarukishwa kichura.
 
Ni janga kubwa la Taifa huyu Mkuu.
Soma habari ya leo kuhusu Bombardier na kesi iliyopelekwa na Boeing. UK na Canada walifadhili ili bei ipungue ndo hapo Pombe akashauriwa nadhani kununua. Pamoja na kununua bei chee bado tunadaiwa na kwa faida ya nani? wangapi wanatumia ndege nchini? Alitaka akimbie au aruke sasa anarukishwa kichura.
 
Tanzania ni moja lakini inakimbia njia nyingi, hii kiboko. Inaikimbia demokrasia, inaukimbia uchumi, inakimbikia mauaji ya watu wasiojukikana, inakimbizana kuwanyonga abiria wake wafanyabiashara, mhimili umebaki mmoja.
 
Mi sitaki kuamini au kuwabebesha mzigo watanzania wenzangu na kuwalaumu kwa hili maana nna imani walichokichagua siyo walichotangaziwa huu mzigo ni wa JK Lubuva mkapa nape makamba na wenzie wengi ndani ya CCM na nje ya CCM hasa vyombo vyetu vya usalama.

Mtu gani huyu kila sehemu anapwaya yeye kawa mtu wa kujiona kua bila yy mambo hayaendi na sehemu yy anapopata msaada ni kutoka kwa majeshi yetu tu hasa polisi wao ndo wamekua watu wa kumsaidia sana izo taasisi zingine kaziweka mfukoni kabisa bila tabu.

Pombe hutufai kabisaa wewe ni moja ya kiongozi utakae na unae chukiwa sana na wananchi wako ungekua nchi za kusini mwa America vizazi vijavyo vingeweza kulitemea mate na kuliponda mawe kaburi lako.
 
Hivi huyu jamaa juzi tu kasema anajutia kuwa Rais na alijaribu tu kugombea aka shangaa kaupata!!!! kwahiyo hakuwa na malengo na nia ya dhati ya kuwa kiongozi wa Nchi na ndo maana kuna mambo mengi ya hovyo yanayoendelea kutokea nchini katika awamu hii.

Ni vizuri ajiuzulu tu maana anajutia sana kuupata urais.
 
Mh! Huyu alikuwa Serikalini zaidi ya miaka 20 busy kukwapua nyumba za Serikali na kugawa na kuhonga, kukaa kimya kwenye ufisadi mbali mbali ikiwemo rada, EPA, Richmond, IPTL, mikataba ya madini, mikataba ya gesi, kukwapua bilioni za wahanga, kununua kivuko uozo, tayari ameshaanza kujichotea trillions bila idhini ya Bunge utadhani anazitoa mfukoni mwake!

Akimbie mwenyewe huyu asije kuingiza nchi yetu kwenye majanga makubwa sana, tayari kuna dalili kubwa za majanga makubwa nchini ikiwemo uhuru wa habari kuminywa, kudharau Bunge, katiba na sheria za nchi.

Sasa Watanzania wanatekwa, kuteswa na kuuawa kwa kumkosoa tena vitu vya kweli kabisa na kuitwa wasaliti na wachochezi. Hofu na taharuki zimetanda nchi nzima kutokana na chuki zake za kutisha, vitisho kila kukicha na visasi.

Hafai huyu hafai kabisa Kikwete na Mkapa wametuletea nchini balaa kubwa sana.

Well said mkuu, hakika.
 
Ogopa sana mtu mwenye uwezo wa kusimama na kusema tunadukua mawasiliano yako jambo ambalo ni illegal ila for some reason linatamkwa utasema ni jambo zuri, na watanzania vilaza unasikia wakishangilia. Hahaha Ukisikia kuchanganyikiwa ni huku. Ovyo kabisa.

Yaani ni sawa na mtu kasimama na kusema nimeua alafu mkaona poa tu kua kauliwa kwa ajili ya maendeleo.
Honestly sielewi akili za wabongo hasa wa level ya chini, ukosefu wa elimu kitu kibaya sana. These guys are too stupid inasikitisha.
Inasikitisha sana mkuu, hakuna maendeleo yanayokuja kiivyo, anajidanganya Kwa Rwanda wakati kale kanchi ni robo tatu ya Tabora. Kagame kwa Tz ni sawa na Mkuu wa mkoa tu
 
Back
Top Bottom