Rais Magufuli angeiendeleza vizuri Chato kwa kujenga Chuo Kikuu

Rais Magufuli angeiendeleza vizuri Chato kwa kujenga Chuo Kikuu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ujenzi wa Chuo Kikuu Chato ungekua na justification ya kupeleka fursa ya elimu kwa watu wa ukanda wa Geita, Kagera mpaka Kigoma. Hili hata bungeni lingepita kirahisi na isingemletea kashfa.

Chuo kikuu kinakusanya wanafunzi, hii huleta mzunguko wa hela kwa biashara hasa kwenye malazi, chakula, stationary, usafiri nguo nk. Pia Chuo Kikuu huzalisha ajira kwa jamii wanaoizunguka chuo. Unskilled labour ni rahisi kupatikana na watu wanajipatoa kipato.

Chuo Kikuu kinaleta hamasa kwa vijana kua na ndoto ya kufika pale. Hasa wale ambao hawana role model. Wengi hawana ndoto hizo kwakua nyumbani hakuna aliyefika huko.
 
Uwanja wa ndege wa Chato ni wa kimkakati. Faida yake inaweza isionekane leo lakini kipindi kijacho. Ni fursa nzuri sana
 
Uwanja wa ndege wa Chato ni wa kimkakati. Faida yake inaweza isionekane leo lakini kipindi kijacho. Ni fursa nzuri sana
Tanzania tuna maaadui watatu
Ujinga
Umasikini
Maradhi

Sasa huo uwanja wa chato unapunguza adui gani hapo?
 
Ujenzi wa Chuo Kikuu Chato ungekua na justification ya kupeleka fursa ya elimu kwa watu wa ukanda wa Geita, Kagera mpaka Kigoma. Hili hata bungeni lingepita kirahisi na isingemletea kashfa.

Chuo kikuu kinakusanya wanafunzi, hii huleta mzunguko wa hela kwa biashara hasa kwenye malazi, chakula, stationary, usafiri nguo nk. Pia Chuo Kikuu huzalisha ajira kwa jamii wanaoizunguka chuo. Unskilled labour ni rahisi kupatikana na watu wanajipatoa kipato.

Chuo Kikuu kinaleta hamasa kwa vijana kua na ndoto ya kufika pale. Hasa wale ambao hawana role model. Wengi hawana ndoto hizo kwakua nyumbani hakuna aliyefika huko.
Alitaka atoe tenda kwa Mayanga Construction, pia ni ubinafsi wake, ndio maana amejena uwanja kijijini kwake.
 
Back
Top Bottom