FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Utangulizi;kuna Mali za Serikali na
Mali za chama,Chanel ten na TBC
In Mali ya serikali.
1.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
-Pia napendekeza nembo ya TV iwe dole gumba au jembe na nyundo
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kingo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.
Mali za chama,Chanel ten na TBC
In Mali ya serikali.
1.itakuwa inaonyesha hotuba mbalimbali za marais waliotangulia na viongozi wengine.
2.Maisha binafsi ya viongozi baada ya kustaafu.
3.Mambo mbalimbali yaliyofanywa na viongozi ktk kuleta maendeleo.
4.Nyimbo zake zitakuwa za Chama na zile za kizalendo.
5.Ziara mbalimbali za viongozi walizo/wanazofanya nje.
6.Kuonyesha ziara za viongozi mbalimbali toka nje.
-Pia napendekeza nembo ya TV iwe dole gumba au jembe na nyundo
7.tamthilia zake zitakuwa mpya Tanzania ni zile toka magazeti ya Sani, kama Zena na Betina,Obi,visa vya akina baba ubaya toka Gazeti LA Bongo na Kingo ktk njia ya katuni.
Nb:;Mh.rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli,nakuomba ktk TV hiyo uniteuwe niwe mkurugenzi nionyeshe mfano wa kuenzi viongozi kupitia TV.asante.inbox jamii forum kwa atayependa.