Tuma salamu kwa watu watatu..Kama na hapa ulichanganywa basi unachanganyika kirahisi sana.
I doubt there are evil motives. OvaUchaguzi ndio huo unakuja, what could be behind that motive ya hili zoezi mpaka Mkuu wa kaya analishupalia? tena kweli kweli! Kama nchi hii isingelikuwa nchi ya manyang'au nisingelikwenda mbali kote huko! Upinzani kuwezi macho!
Acha ushamba haya mambo siyo mageni, labda kwako! Mhalifu atavaa gloves kama kushika kitasa etc! Ni sawa na kuweka vipande vya chupa kwenye top ya ukuta, mwizi anaweka gunia anapanda!Fanya uhalifu na simu iliyosajiliwa kwa alama za vidole uone!
Fanya uhalifu na simu iliyosajiliwa kwa alama za vidole uone! Simu yako itaunganishwa na kitambulisho cha NIDA hakuna kanjanja tena!
kwan inasajiliwa simu ama line?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Acha ushamba haya mambo siyo mageni, labda kwako! Mhalifu atavaa gloves kama kushika kitasa etc! Ni sawa na kuweka vipande vya chupa kwenye top ya ukuta, mwizi anaweka gunia anapanda!
line!kwan inasajiliwa simu ama line?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
We huelewi tuuUchaguzi ndio huo unakuja, what could be behind that motive ya hili zoezi mpaka Mkuu wa kaya analishupalia? tena kweli kweli! Kama nchi hii isingelikuwa nchi ya manyang'au nisingelikwenda mbali kote huko! Upinzani kuwezi macho!
Ni line ofcourse! Simu ni line! Bila line simu toykwan inasajiliwa simu ama line?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo nn sa? kwan sim ndo inasajiliwa?Fanya uhalifu na simu iliyosajiliwa kwa alama za vidole uone!
Shida anawezafanya mwingine ukadakwa wwe kuna usalama gani kwenye usajili,tulivonyuma kwenye sheria na upelelezi hadi uje uchomoke si wwe miaka 5Fanya uhalifu na simu iliyosajiliwa kwa alama za vidole uone!
Ili mfanye nini? chekechea mfanye nini?We huelewi tuu
Ndio Mana tunataka Vijana kwanzia Miaka 18 na kuendelea
Endelea kuwa na wasiwasi.Uchaguzi ndio huo unakuja, what could be behind that motive ya hili zoezi mpaka Mkuu wa kaya analishupalia? tena kweli kweli! Kama nchi hii isingelikuwa nchi ya manyang'au nisingelikwenda mbali kote huko! Upinzani kuwezi macho!
Uko sahihi .Acha ushamba haya mambo siyo mageni, labda kwako! Mhalifu atavaa gloves kama kushika kitasa etc! Ni sawa na kuweka vipande vya chupa kwenye top ya ukuta, mwizi anaweka gunia anapanda!
kama ni simu basi ingelitumiwa IMEI#Ni line ofcourse! Simu ni line! Bila line simu toy