Rais Magufuli asikitishwa na vurugu za mechi ya Simba na Yanga,Sasa zazuiwa kutumia Uwanja wa Taifa

Tena askari walipaswa kuwakamata hao mashabiki kwa uharibifu kisha kuwapeleka mahakani, vinginevyo watakuwa wanaharibu kwa kisingizio cha timu kulipa.
 
Mkuu ninavyofahamu UDART kulikuwemo share za serikali kupitia Dar City Council.

UPDATE

Serikali kuu bado ina shares kwenye UDART.

DAR ES SALAAM City Council's (DCC) ownership in Usafiri Dar es Salaam (UDA) has officially ceased following Simon Group's payment for the 51 per cent shares in the company.

Treasury Registrar (TR) Lawrence Mafuru told journalists in the city yesterday that reports from the city council indicate that DCC has received the money and certified the transaction.

"The legitimate owners of UDA are now the government (49 per cent) and Simon Group (51 per cent)," said Mr Mafuru, noting that the DCC no longer owns shares in the transport company.

Lakini kwa hali yoyote ile, mtu mwenye akili timamu na hajawahi pelekwa Mirembe, ataharibu vipi mindombinu kwa makusudi?
That's criminal.
 
Anyway mambo ya watani humalizwa kiutani zaidi.
 
ni kweli serikali ndo inawaharibu sawa na mzazi anayelidekeza Toto la kiume la miaka 30 linakaa nyumbani na Dada zake
Tena wanyimwe kabisa ili watengeneze viwanja vyao ili wakapate kuvunja kila watakachoona kinafaa kuvunja..

Haiwezekani mitimu mizee kiasi hicho bado haina viwanja vyao
 
Acha kubishana na MTU asiejua mpira kila kitu anajifanya anajua.... Uwanja Wa Olympic Elizabeth stadium ambao kwa sasa umekodishwa na timu ya westham pale London umekaa kitambo bila kuchezewa mechi na bado upo vizuri ...


Finally hata bongo movie na timu ya wabunge Wa simba na yanga watakuwa wanajifua hapo kwa mchina
 
Pametokea taharuki kanisan baada ya paroko kusema tuwapongeze Yanga kwa goli la *Tambwe*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hivi nnavyoongea viti vyote kanisan vimeng'olewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…