Rais Magufuli Asubiriwa Kwa Hamu Nairobi

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Mheshimiwa Rais Magufuli ambaye anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyatta ni miongoni mwa viongozi raia wa Kenya wanapenda sana kumuona.
Kwa kipindi cha miaka 2 ya utawala wake nchini Tanzania wakenya wengi sana wamependa sana jinsi anavyopambana na Ufisadi.
Rais Uhuru Kenyatta majuzi alianza kufanya kazi kwa mtindo alioanza nao Rais Magufuli kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu mpaka Wizara ya Fedha . Changamoto kubwa kwenye uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka huu ilikuwa Ufisadi.
 
Magufuli hatakuja huko Kenya ng'oo.
Anajua kabisa wakenya hammpendi na haziivi na Uhuru Kenyatta.
Yote kwa yote, kitendo cha Magufuli kuja kuhudhuria Kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta kitakuwa ni usaliti dhidi ya Raula Odinga ambaye ni rafiki mkubwa wa Magufuli.
 
Hapana ham yao kubwa ni kumuona mtu alieuza mifugo yao bila kujali ujirani wala diplomasia lkn pia mtu ambae atashuhudia kumuona rais asiemtaka ndie ataeapishwa. lkn mkumbusheni sizo akamsalimie TL hospitalini najua haiko kwenye ratiba ila itamjengea walau imani kwa wa TZ.
 
Mahusiano ya Tanzania na Kenya kwanza halafu urafiki wa Mheshimiwa Rais Magufuli na Raila Odinga
 
Wakenya wanamsubilia kumzomea kwa kuchoma na kushikwa mifugo yao na Mh Lowassa ndani sasa tuone nani ananguvu ya Umma au ubabe wa kijinga MUGABE atazomewa kuanzi boder hadi Nairobi.wamasai sio wajinga kama ccm


Swissme
Mkuu anakwenda kumalizana na wakenya.
 
Ebu ambatanisha na picha basi tuone namna walivyo na hamu ya kumsubiri huyo dikteta wenu
 
wakenya wanamsubiri nani kwa hamu? Pwahahahaha...hivi unajua ni marais wangapi watakua kwa hafla ile ama una kurupuka tu? pia watakuja marais wa dunia kama vile Netanyahu, rais wa israel na hata naskia rais wa Ujerumani amealikwa...sasa magu ndo nani bana?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ pengine nikukosoe basi, Uncle Magu anatarajiwa Nairobi... sio kungojewa kwa hamu.anasubiriwa kama tu marais wengine walioalikwa..mambo ya hamu na ghamu utakuwa ni uongo mtupu kwani aje ama asije hamna nuksi...pengine ingekuwa ni Obama anakuja...hapo najua kungekuwa na hamu sana...Kagame, Museveni na kadhalika wanatarajiwa tu kama vile Magu...
 
President Museveni uses our red carpet. Yeye ndio mzito tunangoja
 
hizi sasa ni sifa za kijinga sasa...hivi unajua ni marais wangapi huwa wanaacha msafara wa magari na kutembea kwa miguu hadi eneo flani? Obama ni mfano mmoja...you are making it sound like Magu is the one that invented it...mbona rais kutembea ni jambo la kawaida tu...hata Uhuru amefanya hivyo tena wakati alipotembea hadi Parliament kwa miguu miaka kadhaa iliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…