Rais Magufuli atangaza maombolezo ya siku 3, bendera kupepea nusu Mlingoti kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Marehemu Pierre Nkurunziza

Mbona yeye hatambui uwepo wa corona ambayo imemchukua kipenzi chake?
 
Kwani kuwa na ndugu mhutu ni dhambi?
 
Rais Kikwete alimsaidia saana Piere alipojaribu kupinduliwa.....bila Tanzania Pierre alikuwa amesha left

Pia Macommando wa TZ pamoja na akina huyu Ndeminishimaye walisaidia sana..alikuwa ameshapigwa chini
Hatuna uhusiano nao wa kutufanya tuumie juu ya msiba wao mpaka kupeperusha bendera nusu mlingoti.

Hope siyo kweli aisee
 
Rais Kikwete alimsaidia saana Piere alipojaribu kupinduliwa.....bila Tanzania Pierre alikuwa amesha left

Pia Macommando wa TZ pamoja na akina huyu ndeminishimaye walisaidia sana..alikuwa ameshapigwa chini

Hayo yote ni yale ambayo yeye alinufaika kwetu, je alitufanyia kipi cha maana hata kustahili nusu mlingoti.?

Je, ni kawaida hii pia hutokea nchi zingine.?
 
Ndoto za Nyerere zinaendelea kutimizwa! tuna mzawa mmoja tu aliwahi kuwa Rais wengine wote pamoja na Nyerere wa kuja tu!!
 
Hatuna uhusiano nao wa kutufanya tuumie juu ya msiba wao mpaka kupeperusha bendera nusu mlingoti.

Hope siyo kweli aisee
Huko Burundi watu wengi wamegoma kuomboleza na Sasa wanawalazimisha kwa kuwakamata wale wanaopiga muziki wa kawaida. Wanalazimisha wapige muziki wa maombolezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…