Rais Magufuli awapa jengo la ghorofa 4 Wizara ya mambo ya ndani jijini Dodoma kuwa makao yao makuu

Rais Magufuli awapa jengo la ghorofa 4 Wizara ya mambo ya ndani jijini Dodoma kuwa makao yao makuu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Magufuli amewapa jengo la ghorofa 4 Wizara ya Mambo ya Ndani ili liwe ndio makao makuu jijini Dodoma.

Rais Magufuli amekabidhi picha na michoro ya jengo hilo kwa IGP Sirro na Waziri Kangi Lugola jijini Dodoma leo.

Source: Channel ten
 
Rais Magufuli amewapa jengo la ghorofa 4 Wizara ya Mambo ya Ndani ili liwe ndio makao makuu jijini Dodoma.

Rais Magufuli amekabidhi picha na michoro ya jengo hilo kwa IGP Sirro na Waziri Kangi Lugola jijini Dodoma leo.

Source: Channel ten
Jengo lilikuwa la nani?
 
TAARIFA INASEMA AMEKABIDHI PICHA NA MICHORO YA JENGO HILO
HAPO INA MAANA KWAMBA SIYO JENGO LILILOKAMILIKA ILA NI JENGO AMBALO LIPO KWENYE MAKARATASI KWA HIYO YATAKIWA WAO WALIJENGE MAANA KATI YA WIZARA AMBAZO ZILIKUWA BADO HAZIJAFIKIRIA KUJENGO OFISI NI HIYO
 
Back
Top Bottom