Rais Magufuli awapatia jeshi la polisi jengo la ghorofa nne ilii wahamie Dodoma

"....awapatia...";? Jengo halikuwa na mwenyewe lililpokuwa linajengwa?

Hivi wachoraji wa majengo nchi hii wote wamehama? Naona majengo yenye muonekano wa ajabu sana siku hizi! Jengo halina mvuto katika mwonekano wake. Na huu ni mji wetu mkuu mpya, mandhari yake itakuwaje?
 
Neno “amewapatia” it’s like jengo halikuwa na mwenyewe. Lilikuwepo bila plan. Kama vile nakupatia buku means lile buku sio issue sikuwa na plan nayo kubwa. Hapo Ndio ukakasi unapokuja
 
Kitengo cha Kusifu na Kuabudu kiko wapi?kinafeli sanaaa..itabidi mkuu wao atumbuliwe mana hadi sasa hawaonekani kabisa kwenye huu uzi..
 
Hilo lilianza kujengwa zamani labda ndo style ya wakati huo, cha msingi liwe na ofisi za kutosha kufanyia kazi iliyokusudiwa.
 
Neno “amewapatia” it’s like jengo halikuwa na mwenyewe. Lilikuwepo bila plan. Kama vile nakupatia buku means lile buku sio issue sikuwa na plan nayo kubwa. Hapo Ndio ukakasi unapokuja
wapinzani tanzania mmejaa ukakasi na ni janga la kitaifa.
mmejaa sumu utafikiri ma cobra ya porini.
nadhani mate yenu mkimtemea mtu usoni anakuwa kipofu.
 
Umeshindwa kutress tatizo kwenye mtoa hoja ulichohighlight sio ishu.Ishu ni kusema jengo halina mvuto mbona liko poa kwa majengo ya gharama nafuu!
Tupatie gharama yake tuone huo unafuu.
 
Ukitaka lenye mvuto jenga lako. Kwani umeambiwa hotel hiyo hadi likuvutie.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…