Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Je, huu ni Utani wa kweli wa Kimakabila yetu nchini Tanzania au ni Utani wa Kutamani kweli huku Ukitega kuangalia anayetaka Kukuzidi Kete kwa Mrembo?
" Hata Mkuu wa Wilaya wa hapa amefanya kazi nzuri katika kuondoa Zero, ninachowashangaa watani zangu Wazaramo hajaolewa, lakini mnashindwa kumuoa mnamuangalia tu, ndiyo shida ya Wazaramo saa zingine mnashindwa mambo " -Rais @MagufuliJP
Mzukulu nasema ogopa sana Mwanamke wako akimpata anayemkuna zaidi yako lazima ataanza Kukudharau na Utawachukia Watu wote tu jirani.
====
Magufuli awashangaa Wazaramo Jokate kutokuolewa
JUMAPILI , 28TH JUN , 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewashangaa watani zake Wazaramo kwa kushindwa kumuoa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ili hali hana Mume.
"Hata mkuu wa Wilaya wa hapa amefanya kazi nzuri katika kuondoa Zero , hapa kulikuwa na Zero nyingi sana, ninachowashangaa watani zangu Wazaramo hajaolewa, lakini mmeshindwa kumuoa mnamuangalia tu, ndiyo shida ya wazaramo saa zingine mnashindwa mambo" amesema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli amempongeza Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo kwa utendaji wake wa kazi, "Nimpongeze Jafo kwa kunisaidia kazi, kijana huyu anajituma sana, mwembamba kwa umbo lakini mambo yake makubwa anazunguka kila mahali, sijasema Mawaziri wengine hawafanyi kazi lakini nipo kwenye jimbo la Kisarawe".
" Hata Mkuu wa Wilaya wa hapa amefanya kazi nzuri katika kuondoa Zero, ninachowashangaa watani zangu Wazaramo hajaolewa, lakini mnashindwa kumuoa mnamuangalia tu, ndiyo shida ya Wazaramo saa zingine mnashindwa mambo " -Rais @MagufuliJP
Mzukulu nasema ogopa sana Mwanamke wako akimpata anayemkuna zaidi yako lazima ataanza Kukudharau na Utawachukia Watu wote tu jirani.
====
Magufuli awashangaa Wazaramo Jokate kutokuolewa
JUMAPILI , 28TH JUN , 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewashangaa watani zake Wazaramo kwa kushindwa kumuoa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ili hali hana Mume.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Juni 28, 2020, alipokuwa akiwahutubiwa wananchi wa Kisarawe mara baada ya kuzinfua mradi wa maji wa Kibamba hadi Kisarawe uliogharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 10.6.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo.
"Hata mkuu wa Wilaya wa hapa amefanya kazi nzuri katika kuondoa Zero , hapa kulikuwa na Zero nyingi sana, ninachowashangaa watani zangu Wazaramo hajaolewa, lakini mmeshindwa kumuoa mnamuangalia tu, ndiyo shida ya wazaramo saa zingine mnashindwa mambo" amesema Rais Magufuli.
Aidha Rais Magufuli amempongeza Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo kwa utendaji wake wa kazi, "Nimpongeze Jafo kwa kunisaidia kazi, kijana huyu anajituma sana, mwembamba kwa umbo lakini mambo yake makubwa anazunguka kila mahali, sijasema Mawaziri wengine hawafanyi kazi lakini nipo kwenye jimbo la Kisarawe".