Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
Rais Magufuli anaendelea na ziara yake mkoa wa Pwani na muda mfupi baadaye, atazindua kiwanda cha matunda kwenye Kijiji cha Msoga, alikozaliwa rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete. Mkewe, Mama Kikwete tayari yupo eneo la tukio. tazama live