Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
hehe...ni vizuri wakati mwingine kusema ukweli...kusema mambo yalivyo wazi tu...Jay siku hizi unaona mbali! Kudoz to your lecturers! They're doing quite a nice job to shape u!
btw, kumwalika mtu na kuhudhuria ni vitu viwili tofauti!, wanaweza wasihudhulie ila wakawatuma mabalozi wao hapo Kenya! Naamini wengi watafanya hivyo ukiondoa Obama ambaye hana hyo mandate tena!
Safari hii hakuna kuongea kimasai. Asubiri kuapishwa madiwani.
Ni kweli kabisa jayhehe...ni vizuri wakati mwingine kusema ukweli...kusema mambo yalivyo wazi tu...
Kwa kuwa wewe umealikwa si utawawakilisha?.
Kwaiyo Kenyatta hamtumia Lowassa kama toilet paperSafari hii hakuna kuongea kimasai. Asubiri kuapishwa madiwani.
Vipi hivi Magufuli alituma Twitter ya pongezi kwa Kenyatta?Sidhani kama rais wangu Magufuli ataenda kuhudhuria hiyo sherehe ya kuapishwa. Huwa hafundishwi cha kufanya, tena mkiendelea hivyo ndio kabisa hatajigusa.
Rafiki yake mkubwa kashindwa, halafu yeye aende huko kufanya nini?
Vipi hivi Magufuli alituma Twitter ya pongezi kwa Kenyatta?
I see u are a realist. That's good coz many people don't live in reality but u dolol! is this a joke? sidhani kama hao marais watahudhuria....Xi Jinping alikosa kuhudhuria uzinduzi wa reli sasa atakuja kuhudhuria hii? Merkel wa Ujerumani, Matteo wa Italia, Obama na Theresa May hawana muda wa kuhudhuria upuuzi...
naiita upuuzi kwani nchi zile ukitazama wanavofanya uchaguzi, utatambua kuwa bado tuko mbali sana...kisha kuna security threats nyingi mno hapa Kenya.
they would have to bring secret service na afisa wengi..that would cost their countries a lot of money and cost Kenya too alot of money to host the ppl..sioni hata mmoja akikubali mwaliko huu....pengine Kagame, Magufuli, Farmajo na Museveni.
Buhari kumbuka ni mgonjwa...Zuma naye ana changamoto tele zamkabili kule chini...that list is crazy! finally, Kenya is not a global power...not even close
I see u are a realist. That's good coz many people don't live in reality but u dolol! is this a joke? sidhani kama hao marais watahudhuria....Xi Jinping alikosa kuhudhuria uzinduzi wa reli sasa atakuja kuhudhuria hii? Merkel wa Ujerumani, Matteo wa Italia, Obama na Theresa May hawana muda wa kuhudhuria upuuzi...
naiita upuuzi kwani nchi zile ukitazama wanavofanya uchaguzi, utatambua kuwa bado tuko mbali sana...kisha kuna security threats nyingi mno hapa Kenya.
they would have to bring secret service na afisa wengi..that would cost their countries a lot of money and cost Kenya too alot of money to host the ppl..sioni hata mmoja akikubali mwaliko huu....pengine Kagame, Magufuli, Farmajo na Museveni.
Buhari kumbuka ni mgonjwa...Zuma naye ana changamoto tele zamkabili kule chini...that list is crazy! finally, Kenya is not a global power...not even close