Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

acha utoto, kuhusu mikoko, wewe unataarifa toshelezi kuliko Raisi, vyanzo vyako vya habari nisawa na vya Raisi, au wewe una subiri tu kwenye ripoti za ukaguzi?
kuhusu suala la mifuko ya Plastiki, je wewe hilo faili ambako Raisi alikuwa anaweka dokezo lake wewe unalo, au habari unazipata zikitoka kwenye bunge na kwenye magazeti? au na wewe una ka "ikulu" kako kadogo ambapo hizi taarifa nazo zina pita kwako.
 
Kwahiyo wewe huwa unawashukuru wezi wanaokesha usiku!

Kwa maana hiyo ata Magu hastaili hapo alipo, kaingia kwa njia ya wizi na yeye pia kwa maana hiyo ni mwizi. Angekuwa sio mwizi angekataa ushindi wa wizi akamuacha anayestahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…