Rais Samia aliwaambia hao hao wakongwe wa CCM kwamba kwa sasa wafanye kazi za uwaziri na masuala ya kampeni yataanza wakati ukifika.
Na hayati JPM hakukosea kuwataja hao wakongwe kwamba wasahau juu ya urais, wanao tabia zile zile za kuutaka urais kwa chini chini, ni wapenda makundi.
Rais bora kwa uzoefu wa nchi hii ni yule ambaye hazungumzwi sana midomoni. Wenye kuwa maarufu sana siku zote wapo tayari kufanya hata mambo machafu ili waingie ikulu.
Ndio maneno ya RIP Nyerere yanapokuwa na ujumbe hai kwa taifa...ikulu kuna biashara gani mpaka mtu atumie pesa kuingia!!.