Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Rais wa Tanzania John Magufuli wakati akizungumza kule kanisani Chato amesema alishangazwa sana na taarifa za madaktari na wauguzi zaidi ya 60 pale hospitali ya taifa pale Muhimbili kuwekwa karantini kisa siku za mwanzo walikutana na wagonjwa wa Corona!!
Rais Magufuli amesema alipopata taarifa hizo mara moja aliamrisha hao madaktari watolewe karantini na warudi kazini mara moja kuhudumia wananchi. Magufuli alihoji kama mtu kazi yake ni udaktari utamwepushaje asikutane na wagonjwa wa Corona? Magufuli alisema daktari kukutana na wagonjwa wa Corona ndiyo kazi yake na wajibu wake aliousomea hivyo hakuna haja ya kumuweka karantini kwa siku 14 kisa amemhudumia mgonjwa wa Corona.
My take.
Huyu Rais Magufuli tumepewa na Mungu kabisa ,ebu jiulize Mangapi anatusaidia watanzania?
Vipi hiyo tabia ya kuweka karantini madaktari isingeshitukiwa na Magufuli kwa hiyo madaktari wote nchi nzima wangewekwa karantini ? Tungehudumiwa na nani sasa?
Hivi mwanajeshi anaweza kujificha kisa milio ya risasi nchi imevamiwa?
Magufuli hata barakoa amesema yeye kuwa wananchi shoneni barakoa yoyote hata ya shuka sawa tu kuendana na uchumi wako lakini kabla ya tamko la Magufuli aliyekuwa naibu waziri wa afya Dr Ndugulile alisema hakuna kujifukiza na barakoa lazima uvae za N95 ambazo ni bei ghali kweli kweli je wananchi masikini wangezimudu?
Ebu fikiria wakati huu rais angekuwa Mbowe ingekuwaje?
Kwa kweli rais Magufuli unatutetea wanyonge wa nchi hii mchana kweupe hadharani kila mtu anaona na Mungu akulinde sana.
Rais Magufuli amesema alipopata taarifa hizo mara moja aliamrisha hao madaktari watolewe karantini na warudi kazini mara moja kuhudumia wananchi. Magufuli alihoji kama mtu kazi yake ni udaktari utamwepushaje asikutane na wagonjwa wa Corona? Magufuli alisema daktari kukutana na wagonjwa wa Corona ndiyo kazi yake na wajibu wake aliousomea hivyo hakuna haja ya kumuweka karantini kwa siku 14 kisa amemhudumia mgonjwa wa Corona.
My take.
Huyu Rais Magufuli tumepewa na Mungu kabisa ,ebu jiulize Mangapi anatusaidia watanzania?
Vipi hiyo tabia ya kuweka karantini madaktari isingeshitukiwa na Magufuli kwa hiyo madaktari wote nchi nzima wangewekwa karantini ? Tungehudumiwa na nani sasa?
Hivi mwanajeshi anaweza kujificha kisa milio ya risasi nchi imevamiwa?
Magufuli hata barakoa amesema yeye kuwa wananchi shoneni barakoa yoyote hata ya shuka sawa tu kuendana na uchumi wako lakini kabla ya tamko la Magufuli aliyekuwa naibu waziri wa afya Dr Ndugulile alisema hakuna kujifukiza na barakoa lazima uvae za N95 ambazo ni bei ghali kweli kweli je wananchi masikini wangezimudu?
Ebu fikiria wakati huu rais angekuwa Mbowe ingekuwaje?
Kwa kweli rais Magufuli unatutetea wanyonge wa nchi hii mchana kweupe hadharani kila mtu anaona na Mungu akulinde sana.