Rais Magufuli: Mtu akipotea, marufuku kuhusisha vyombo vya Dola, utakamatwa na utoe ushahidi

Lissu alishasema tuna Rais wa ajabu sana hatukumuelewa imagine wakina Lissu walishasema wanafawatiliwa na usalama wa Taifa na wakatoa taarifa rasmi Ben Sanane alisema kabisa anatishwa kwasababu ya kuikosoa elimu ya Magu wote hawa walipata cha mtema kuni sasa kwanini tusivinyoshee vidole vyombo vya usakama hasa Tiss? Kwahiyo mkituteka tukae kimya tusiseme mmetuteka pumbavu kabisa.
 
Kama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe
Duuuu, kuna Watu Vilaza hivi unafikilia ni rahisi hivyo. Kuna Wengine unakula nao, unalala nao, Wanakufundisha, ni ndugu zako, Marafiki zako so how you going to Manage. Chamsingi hakikisha unatoa taarifa kwa vyombo vya dola. Tuache kudanganywa na akili za Wapiga dili kama akina Lisu, Kabwe ambao kula yao inategemea namna gani amedanganya watu na amewafurahisha vipi wahisani wao kwa kutufarakanisha Watanzania.
Watanzania tunajielewa hatudanganyiki, labda kawadanganye Mateja wala ngada
 
Daaah hivi nchi hii kuna viumbe wanaofikiri hivi??
 
Chakaza,
Siyo raia wote wanaotambua haya! Ujinga ndio mtaji kwa sasa. Werevu ni wachache sana hivyo hakuna litakalofanyika isipokuwa ni kutawaliwa tu na kukubali yaishe!
 
Hili jambazi lilitufikisha kiwango cha lami! Linatupa TISS wateke na kupoteza/kuua halafu linatishia watu wasiseme! Jambazi pekee aliyechukua nchi akaua kila aliyetofautiana naye akasurvive!
 
Magufuli alikua Mwendawazimu, Samia atatuwekea mafali yake toka Mirembe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…