Rais Magufuli ruhusu shule zifunguliwe, Corona ni ugonjwa endelevu

Rais Magufuli ruhusu shule zifunguliwe, Corona ni ugonjwa endelevu

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Ni dhahiri shairi gonjwa la Corona halijapatiwa tiba wala chanjo, kwa mantiki kama hii inavyoonesha Corona si ya kuisha leo wala leo.

Ruhusu programu za kielimu ziendelee, kwani inaonekana hili gonjwa tunaishi nalo kama magonjwa mengine. Kwakuwa kabla ya kufunga shule mgonjwa alikuwa mmoja hivi sasa tunawagonjwa zaidi ya mia nne.

Tulitegemea number ipungue lakini inazidi kuongezeka tu.
 
Hii inshu baada ya miezi 6 itakuwa na madhara mengi sana na makubwa baada ya Corona kuisha.

Hapa Mwanza tu kuna mtaa nilipita saa 3 usiku, nikasikia tangazo kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa akisema "amechoshwa na mashtaka ya wanafunzi kubebeshwa mimba ", means ni mengi sana tena ndani ya muda mfupi tu.
FB_IMG_1588594825830.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom