Rais Magufuli "sisi" kama Clouds TV tume-miss kupigiwa simu na wewe hususani Clouds 360!

Rais Magufuli "sisi" kama Clouds TV tume-miss kupigiwa simu na wewe hususani Clouds 360!

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,629
Reaction score
34,199
Salaam sana Mhe. Rais,

Mwanzoni haikuwa inapita muda mrefu kama sasa bila kupiga simu.

- Siku hizi umekuwa kimya sana, hupigi simu mpaka hatuelewi.
 
Yule chakubanga naniliu sijjui baba yake amegundua nini wakati analia shida maana namsomaga humu jf.

Anyway ache ajipendekeze kama jeri muro au la si hivyo atakuwa sio mtz
 
Kwani Baby Kabae amerudi kutangaza hicho kipindi.?

maana 'wengi' wameenda 'kumuunga' mkono kule wasafi tv
 
Mbwembwe za Awamu ya Tano
 
Wapambane tu sasa wamepoteza dira toka master mind waiting afe
 
Back
Top Bottom