Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

Sio kila tamko lazima tulifikirieeeee saaaana!!! Mengine unayapuuza maisha yanasonga mbele!!
 
Alikuwa haonekani kumbe alikuwa mapumziko, kapendeza.
 
HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA MAAFA YA TETEMEKO LA ARDHI KAGERA,KIPINDI,SEPT 17,2016

 

Mkuu, wengi wao ndio walivyo - shedding crocodile tears!
 
Kwa hiyo allihairisha safari ya Zambia kwa maneno ya kejeli kama haya kwa wahanga?
Rais anatakiwa awafariji wafiwa sio kuwasimanga
Yaani vifo va zaidi ya watu 15 ndiyo Rais anatoa maneno ya hovyo hovyo kama haya?
Unamnakili baba yako Mbowe. Akenda hata Mkuu wa mkoa ndio Rais kaenda. Hakuna siasa za kujionyesha hapa. Ukisikia tetemeko mahali unakimbia mbio huko na kuleta siasa. Siku moja hao wanasiasa wenu watakuja chooni kukuchokonoa mavi kwa sababu hayatoki. Misaada ya serikali inaratibiwa na responsible kwa wananchi wake tofauti na hao mamc@ washereheshaji wa kusaka kura kwenye maafa maana kila wakisikia maafa hao mbioooo na kuwaambia wananchi siasa maji taka
 
naona hataki mbowe ndio amlazimishe kwenda wakati yeye ana taratibu tofauti kushughulikia tetemeko sio kwenda kuuza sura umbea na fitna bukoba.
 
Akili mtope hizi
Wapiga kura wa MAGUFULI zaidi ya 16 wamekufa then ww unatuletea porojo kuwa RC anamuwakilisha Rais?
Punguzeni utoto wenu wa vyama tunapo jadili mambo ya maana tafadhali
 
Serikali iwasaidie lakini si vizuri kuwapa ahadi hewa hasa kujenga nyumba zao. Labda serikali iwaondolee kodi kwenye vifaa vya ujenzi hasa cement, bati na nondo
Nahili ndio lingekuwa swala muhimu kufanya kwa wakati huu kwani hata hizo bati na cement zilizochangiwa kama pakiwekwa msamaha wa kodi kwa hiyo bill.3 inaweza piga tafu kubwa kwa waathirika kurejesha makaz yao serikali ishughulike na miundombinu ya umma iliyoharibika
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Anajua wengi huko mtaani nahumu mtandaoni wanaamini hivyo that's y kasema hivyo....kule mbeya watu waliishukuru serikali kwa kuwapelekea mwezi wakaomba upelekwe tena mwaka ujao....xo lipo wazii kabisa hilo
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?

Anamaana kuwa, unapokaa na kuisubiri serikali ilete msaada (Ambao unakuwa unasubiriwa kama fidia) inakuwa na mantiki ya as if serikali ndo imesababisha hilo tetemeko.
Kwakuwa, nyumba imeanguka, ni kweli kuna watu watakuwa hawana namna ya kujisaidia, lakini kwa wale wenye namna ya kujisaidia kwa kurekebisha nyumba zao, ni vyema wafanye hivyo kwa kuwa hili ni janga na lisitumike tofauti.
 
Hilo la kusema watu wajiongeze wasisubir serikal ni ukwel fulan mchungu ambao hatuwez kuukubali.
Kwa maana kuna mtu anaweza kua na ufa tu Ila akakaa kusubir....
As long as una uwezo wa kufanya kitu fulan basi uanze nacho.

Rais amesema ukweli. Kagera ina watu wengi sana na ina wasomi wa kutosha. Ukitathmini kwa undani unaweza ukawatenga waathirika katika makundi yafuatayo:

1) Kundi la Familia ya Watu Maskini kabisa, kama wazee wanaoishi peke yao au na watoto wadogo baada ya wazazi wao kuwaterekeza au kutangulia mbele ya haki, Hawa hawana mahala pa kupata msaada wowote
2) Kundi la Familia ya Watu wasio na kipato cha kila siku, Maisha yao wanayaendesha kwa kazi za mikono, hivyo nguvu ya kufanya kazi wanayo.
3) Kundi la Familia ya Watu wenye kipato cha kati. Wanafanya kazi na kupata mshahara kila mwezi
4) Kundi la Familia zinazojiweza. Zina watoto wasomi na wanauwezo wa kusaidia kujenga makazi mapya hata bila msaada wa serikali.

Kwa kuzingatia mahitaji, Kundi la kwanza linahitaji msaasa zaidi wa kujengewa nyumba. Kundi hili bila serikali kulisaidia itakuwa haijatenda haki.

Kundi la pili, nalo linahitaji msaada lakini si kujengewa nyumba. Kundi hili wasaidiwe vifaa vya ujenzi ili waweze kurekebisha nyumba zao kwa nguvu zao wenyewe.

Kundi la tatu, linaweza kusaidia kwa kiwngo tu kama fidia. Wote wanaweza wakapewa pesa kiasi fulani ili kuwasaidia kurekebisha nyumba zao.

Kundi la nne, halihitaji msaada wowote. Wanafamilia wanao uwezo wa kujenga au kurekebisha nyumba iliyoharibika.

Hivyo serikali inabidi itulie na ifanye tathmini ya kutosha ili kutambua familia zilizoathirika na kuzitenga katika makundi wakati wa kutoa msaada. Ikikosea ikakurupuka tu na kuanza kugawa misaada kiholela, kitakachotokea ni malalamiko mengi na wananchi kuichukia serikali yao.
 
kwanini zisitoke! "kunyeni kinyesi mkapake bara bara iwe lami" ha ha ha! na bado!
 
Hatimaye mkuu kazungumza japo kwa kuchelewa sana. Ila naomba niulize: hivi inawezekana kukawa na watu wanaoamini kuwa "tetemeko limeletwa na serikali" mpaka mkuu atake wananchi wafahamishwe kuhusu hilo?
Mkuu jibu lako liko hivi, inaezekana na ndivyo ilivyo ila watu wanapunguza makali ili kujiepusha na mikosi zaidi... nikuulize kaswali kwani sasa hivi serikali ni nani? majanga asili yake nini? kwa nini yanatokea? kwa ufahamu wangu mdogo ambao hata vitabu vya dini vinaelezea ni kwamba Mambo hayo yanatokea kwa kutokua na mahusiano mazuri kati ya MUNGU/MIUNGU NA TAWALA AMA JAMII YOTE ILIYOPO KTK TAWALA HUSIKA.. KWANINI JAMII INANYOOSHA KIDOLE KWA MTAWALA, HII NI KWASABABU MTAWALA NDIO LANGO KUU KATI VIWILI HIVYO.
 
Ni kweli watu wasisubiri kujengewa,, ila kwa kauli kama hyo isee wakati kuna watu wanalala nje wengine wamefiwa na ndugu wa familia inahuzunisha ki ukweli,, we will miss you edward ngoyai lowassa SEE YOU AGAIN
 
kwa uwelewa wangu michango ilikuwa inaenda kuwasaidia wahanga wa tetemeko kama ujenzi wa nyumba zao zilizoharibika, chakula na matibabu pamoja na ujenzi wa shule na huduma zingine muhimu. Kama kulikuwa na mpango tofauti na huo ni bora wachangiaji wangepewa tarifa mapema kabla yakuchangia. nasema hivi kwa sababu makazi ni kitu muhimu kwa kila mtu. mtu anawezaje kwenda kazini wakati familia iko nnje, hilo linaweza kumuathiri hata kisaikolojia. Ushauri wangu kwa serikali ifanye uhakiki wa kila kaya na uaribifu uliotokea kwenye nyumba zao, ili wajue kila kaya itahitaji mifuko mingapi ya cement na matofali , hili linawezekana wakiongea na makampuni ya cement wakatoa mifuko hiyo kwa punguzo la bei alaf michango ikatumika kuwanunulia hivyo vitu hata kama wao wapambane na ela za kuwalipa mafundi wa ujenzi litakuwa jambo zuri sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…