Rais Magufuli tunaomba uruhusu OC wajasiliamari tutakufa njaa

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
πŸ™πŸ˜‘πŸ˜•

Hii kweli heshima kitaa yaani hazina wamezuia OC watu njaa mtaani halafu supplier unasupply kwa selling price unalipwa baada ya miezi 3 ahahahaa yaani tusiponyooka mwaka huu basi hatutanyooka r.i.p Gypsa ulitusaidia sana JPM kakupenda zaidi hatuna namna
 
Miezi 3 tu halmashauri niliko supplier wanadai zaidi ya 1.5b
 
Tulieni mambo yatakuwa sawa muda si mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…