Rais Magufuli tunusuru bei ya saruji na vifaa vya ujenzi huku Missenyi Kagera

Rais Magufuli tunusuru bei ya saruji na vifaa vya ujenzi huku Missenyi Kagera

tinkanyarwele

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
2,016
Reaction score
1,946
Mh, rais wa JMT tunakuomba uingilie kati bei ya Saruji au cement kama ilivyo zoeleka pamoja na vifaa vingine vya ujenzi. Mh Rais huku Missenyi Mkoani Kagera bei ya vifaa vya ujenzi iko juu sana kiasi cha kutisha nikilinganisha na baadhi ya maeneo hapa nchini, mfuko wa kg 50 wa saruji ya ujenzi wa kawaida unauzwa kati ya shilingi elfu 20 hadi elfu 21, huku nondo ya mm 12 ikiuzwa kati ya shilingi elfu 24 hadi elfu 25.

Nadhani tumekosa wa kutusemea juu ya hili lakini hali inatisha maana ni muda mrefu sasa hali ikiwa hivi, kwakuwa najua baadhi ya wahusika wamo humu naomba wasaidie kufikisha kadhia hii kwa mtukufu na wengine wote ambao wanaweza kusaidia kutatua hili.
 
Mh, rais wa JMT tunakuomba uingilie kati bei ya Saruji au cement kama ilivyo zoeleka pamoja na vifaa vingine vya ujenzi. Mh Rais huku Missenyi Mkoani Kagera bei ya vifaa vya ujenzi iko juu sana kiasi cha kutisha nikilinganisha na baadhi ya maeneo hapa nchini, mfuko wa kg 50 wa saruji ya ujenzi wa kawaida unauzwa kati ya shilingi elfu 20 hadi elfu 21, huku nondo ya mm 12 ikiuzwa kati ya shilingi elfu 24 hadi elfu 25. Nadhani tumekosa wa kutusemea juu ya hili lakini hali inatisha maana ni muda mrefu sasa hali ikiwa hivi, kwakuwa najua baadhi ya wahusika wamo humu naomba wasaidie kufikisha kadhia hii kwa mtukufu na wengine wote ambao wanaweza kusaidia kutatua hili.
typing....
 
Huenda miundo mbinu ya kufikisha mzigo huko ni shida ndo maana ,,hivo
 
Hiyo bei ya saruji iko juu sana.
Bila shaka inasababishwa na gharama za usafirishaji mpaka huko.

Tatizo hilo linaweza kumalizwa kwa kujengewa kiwanda karibu na maeneo hayo.
 
The best option ni waluusu tu import vifaa vya ujenzi kutoka uganda maana kutoka misenyi kwenda uganda ni masaa matatu kwahyo bei itakuwa nafuu sana. Uwezi safirisha cement kutoka Mtwara au Tanga tena kwa njia ya gari alafu ufike kagera bei iwe nyepesi, nafikili ata bandari kavu pale Tinde sijui kama inafanya kazi kabisa maana kiukweli swala la vifaa vya ujenzi kwa mkoa wetu limekuwa tatizo.
 
Hiyo fursa ya biashara kwa vifaa vya ujenzi.
 
The best option ni waluusu tu import vifaa vya ujenzi kutoka uganda maana kutoka misenyi kwenda uganda ni masaa matatu kwahyo bei itakuwa nafuu sana. Uwezi safirisha cement kutoka Mtwara au Tanga tena kwa njia ya gari alafu ufike kagera bei iwe nyepesi, nafikili ata bandari kavu pale Tinde sijui kama inafanya kazi kabisa maana kiukweli swala la vifaa vya ujenzi kwa mkoa wetu limekuwa tatizo.
Alafu utashangaa wawakilishi wa maeneo husika na viongozi hawana muda wa kulizungumzia panapo husika, pia kama wangeruhusu kutoa vifaa hivi Uganda nadhani hali hii isingekuwa taabu kiasi hiki.
 
Kwa kweli hali si hali
Mwanza penyewe bei ya saruji 17,500
Nondo nayo mm12 zaidi ya 20,000 na Nyakato steels Industry ipo,,, tunakwama wapi kama taifa kuruhusu import kutoka Uganda kumpa mwanchi unafuu wa ujenzi nyumba bora?
 
Mh, rais wa JMT tunakuomba uingilie kati bei ya Saruji au cement kama ilivyo zoeleka pamoja na vifaa vingine vya ujenzi. Mh Rais huku Missenyi Mkoani Kagera bei ya vifaa vya ujenzi iko juu sana kiasi cha kutisha nikilinganisha na baadhi ya maeneo hapa nchini, mfuko wa kg 50 wa saruji ya ujenzi wa kawaida unauzwa kati ya shilingi elfu 20 hadi elfu 21, huku nondo ya mm 12 ikiuzwa kati ya shilingi elfu 24 hadi elfu 25. Nadhani tumekosa wa kutusemea juu ya hili lakini hali inatisha maana ni muda mrefu sasa hali ikiwa hivi, kwakuwa najua baadhi ya wahusika wamo humu naomba wasaidie kufikisha kadhia hii kwa mtukufu na wengine wote ambao wanaweza kusaidia kutatua hili.
Sisi Huku kanda maalumu Tarime tunauziwa bei hiyo hiyo tulichofanya ni kugeuzia mahemezi yetu Kenya nyinyi bakini na bei zenu huko
 
Mh, rais wa JMT tunakuomba uingilie kati bei ya Saruji au cement kama ilivyo zoeleka pamoja na vifaa vingine vya ujenzi. Mh Rais huku Missenyi Mkoani Kagera bei ya vifaa vya ujenzi iko juu sana kiasi cha kutisha nikilinganisha na baadhi ya maeneo hapa nchini, mfuko wa kg 50 wa saruji ya ujenzi wa kawaida unauzwa kati ya shilingi elfu 20 hadi elfu 21, huku nondo ya mm 12 ikiuzwa kati ya shilingi elfu 24 hadi elfu 25. Nadhani tumekosa wa kutusemea juu ya hili lakini hali inatisha maana ni muda mrefu sasa hali ikiwa hivi, kwakuwa najua baadhi ya wahusika wamo humu naomba wasaidie kufikisha kadhia hii kwa mtukufu na wengine wote ambao wanaweza kusaidia kutatua hili.
Wewe si unajifanya mzalendo! Endelea kununua kwa bei iliyopo sokoni, maana mmezidi uzuzu, hivi hakuna hata mitumbwi ya kupitisha magendo huko unakuja kutulalamikia hapa
 
Back
Top Bottom