Rais Magufuli:Usikubali Ushabiki wa Maria(TFF) kwa Simba, kukufanya ajabu.

Jk alijihusisha waziwazi na yanga, mpk alikwenda kuzindua nn sijui
 
Toa mfano, mwanasiasa gani kaharibika kwa kujihusisha na simba na yanga.
Tuongee kwa fact sio hisia.
Ndg itoshe!
lkn amini usiamini baada ya kesho wanasiasa wataanza kumchongea Mh Rais kwa mashabiki wa upande wa pili.

Kwa faida yako,Kikwete Yanga. Mbowe Yanga.Lowassa Yanga. Mkapa Yanga. Lissu Yanga. Ulishawaona wakitumia siasa ktk mpira?Hao ni wajanja na wanatambua hasara zake.
 
Leta jina la mwanasiasa aliyeharibiwa na usimba na uyanga wake!
JPM kukubali mwaliko wa TFF haimaanishi anaenda itumia simba. Acha wivu mkuu. Kina Ridhiwani na Nchemba wamejihusisha na Yanga laivu hadi ktk mechi zao wameenda ila siasani wala haijaleta matatizo. Zito bado anapeta, licha ya yeye kuwa simba damu ila upande wa siasa ana wafuasi wengi ambao kimpira wako yanga.
 
Mimi ni Yanga ila swala la viongozi wa juu kuwepo kwenye mpira ni sawa tuu ona Yanga hakuna tunaloweza kufanya saa hizi njaa imetamaraki hawana mbinu yeyote ya kupata pesa na wapo kwenye mashindano makubwa...
 
JPM mwacheni aungane na wananchi kushiriki makabidhiano ya Kombe kwa Timu ya Taifa ya Vijana na SIMBA!! Yeye ni Rais hana mipaka akiwa nchini kwake kushiriki tukio lolote linalohusisha wananchi, Yanga mtulie na mjipange upya, mwaka huu hamna chochote!!!
 
Toa mfano, mwanasiasa gani kaharibika kwa kujihusisha na simba na yanga.
Tuongee kwa fact sio hisia.
Jamaa ni wivu wa uyanga unamsumbua..mwigulu kila siku yuko yanga...mbona kuna wanaccm wako simba na wanamkubali

Hizi timu kwa nchi yetu ni sehemu ya utani..
 
Siku akirushiwa chupa za mikojo km Mzee mwinyi au akitaniwa matusi ya Simba na yanga asifunge MTU wala kupaniki
 
Jamaa ni wivu wa uyanga unamsumbua..mwigulu kila siku yuko yanga...mbona kuna wanaccm wako simba na wanamkubali

Hizi timu kwa nchi yetu ni sehemu ya utani..
Wivu gani?? Hivi mnaijua Namba ya mtani wao.
 
Jamaa ni wivu wa uyanga unamsumbua..mwigulu kila siku yuko yanga...mbona kuna wanaccm wako simba na wanamkubali

Hizi timu kwa nchi yetu ni sehemu ya utani..
Wivu gani?? Hivi mnaijua Namba ya mtani wao.
 
Tupe mifano mahali pengine dunia,maana mpira tumeuiga.
 
Tupe mifano mahali pengine dunia,maana mpira tumeuiga.
 
Tatizo lipo katika zoezi lenyewe sio ushabiki
 
Mbona kesha jiharibia bila hata kuzitumia hizo clubs? Ajiweke pembeni bwana! Simba isijejikuta ina gundu kwenye mashindano yajayo huko mbele
Itabidi uanze kumshangilia rais wako akiwakabidhi kombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…