Rais, makamu, waziri mkuu, wabunge, majaji na mawaziri waanze kulipa kodi kufidia tozo zilizoondolewa

Ndio walipe KODI.

Wapaki maV8, watumie Prado na Nissan au Harlier.

Ingawa sijaona TOZO ilofutwa, ikiwa nikitoa ATM zaidi ya 30,000 tozo ZIKO pale pale!!!!
 
Ndio walipe KODI.

Wapaki maV8, watumie Prado na Nissan au Harlier.

Ingawa sijaona TOZO ilofutwa, ikiwa nikitoa ATM zaidi ya 30,000 tozo ZIKO pale pale!!!!
Mwigulu anawaona watanzania wajinga kwa kudanganya tozo imefutwa.

Yeye halipi kodi kwenye mshahara wake.
 
Niliwahi andika SEHEMU kwamba serikali ipunguze mishahara na kufuta posho za wanasiasa fedha zipelekwe kwenye maendeleo!

Jaribu na wewe labda watakusikiliza!!
 
Tuendelee kulipa Kodi na tozo za mshikamano kwa maendeleo ya viongozi na nchi🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • image_2932730544547440398_.jpg
    83.5 KB · Views: 4
Tuendelee kulipa Kodi na tozo za mshikamano kwa maendeleo ya viongozi na nchi🤣🤣🤣🤣
Nchi ina utitiri wa wakwepa kodi wanaoongoza kwa matumizi makubwa.
 
Ndo kwanza wenzako hao wanataka waongezewe posho
 
Ndo kwanza wenzako hao wanataka waongezewe posho
Halafu wanazuia wakulima wasiuze mazao yao kwa bei ya juu wakati wao vipato vyao wanaviongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…