Rais Malecela - 2010?

Nilishasema na narudia kusema kuwa huyu mama si kweli kwamba anapiga vita ufisadi. Kama anawajua na awataje.
Ni msanii tu anayedandia hoja kusaka kura 2010 wala hana chembe yoyote ya upiganaji.
Ndio sababu Sofia alimshushua
 
1. - Fact:-






2. - Facts;-



- Opinion;-

Nilishasema na narudia kusema kuwa huyu mama si kweli kwamba anapiga vita ufisadi. Kama anawajua na awataje.
Ni msanii tu anayedandia hoja kusaka kura 2010 wala hana chembe yoyote ya upiganaji.
Ndio sababu Sofia alimshushua


3. - Facts;-


- Kwenye ukweli uongo hujitenga! Sometimes ni vyema tukasema na facts, kuliko longo longo lile lile kila kukicha facts hakuna! Bwa! ha! ha!

Respect.


FMEs!
 
hahahahahahah hehehehehehe
Anne kilango for presidency??
Wacha nikaangue embe miye

kaangue tu mkuu! usisahau kuwabeba na mawaziri wote pamoja na mwenyekiti wao maana hatuoni wanachofanya!!!!!!!
 
tusubiri na tuone?lakini inawezekana mbona Liberia ni mama tena shupavu balaa??????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…