'Rais' Miss Utalii ameiaibisha Tanzania!

Nimekuwa nikimfuatilia vizuri Chips kwa kweli hana uwezo wa kundesha Miss Tourism..inaboa siyo wabunifu... ujinga mtupu. kama ameamua kuwa bondia kwenye mashindano naona inadhihirisha!!!
 
Anafaa kuandaa mashindano ya ndondi na siyo u-Miss!!! hata sijui ilikuwaje akapewa kuwa muandaaji mkuu wa hili shindano..
 
Miss Tanzania, Miss Utalii, Miss International, Miss Universe, zote ni DILI!
 

Hapo rushwa ya ngono ilichukua nafasi yake TAKUKURU wafanye kazi yao mara moja.
 
Miss Tanzania, Miss Utalii, Miss International, Miss Universe, zote ni DILI!

Viongozi wa huko huwa hawatongozi warembo wanajipeleka wenyewe yeye anachagua nyama ipi laini na safi aile.
 
nitarudi nijue zawadi imerudishwa au vipi?
 
Rais mwenyewe njaa ndo nyumbani
itakuwa alishakula hela ya mtu ampitishe nduguye!,,,,,,,,,,,lol
 
Anafaa kuandaa mashindano ya ndondi na siyo u-Miss!!! hata sijui ilikuwaje akapewa kuwa muandaaji mkuu wa hili shindano..

Chezea watu na investment zao!!!Hajapewa na mtu bali alijipa..ht ww unaeza kuanzisha miss daladala mfano afu ukajiita mkurugenzi,rais,founder,chairman of the board of directors,chief judge,chairman of the organising committee and country director of int‘l affiliation and world representative of daladala pageants!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…