Naomba tupendekeze nani ktk kundi la wasanii wa kibongo anaweza kua na sifa za kuongoza nchi, ukilinganisha na namna anavyo jitoa ktk tasnia yake..
Tunaweza kumuelezea kwa vipengele kama hivi..
1.kujiamini
2.kushiriki na wengine/wasanii
3.kujituma/uwezo binafsi
4.kuitetea nafasi yake
5.mahusiano na jamii
6.matumizi ya akipatacho
Ukiviangalia vizuri vipengele hivi, hata raisi wanchi vina mgusa na vinaweza kua kigezo cha yeye kuongoza vyema nchi au kuiongoza vibaya..
1,2,3 twendeee