Rais mpya wa tanzania, rais wa 5, ukombozi umewadia....

Rais mpya wa tanzania, rais wa 5, ukombozi umewadia....

Not_Yet_Uhuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,304
Reaction score
432
Watanzania, Taifa linapata Ukombozi;

Hii ndio hali Halisi, wataiba kura sana lakini Mkono wa Mungu utawaumbua, na nguzu za giza zitawashinda. Wataanguka na Rais Wetu Mpya atapita katikati yao, na Tanzania itafurahia Ukombozi;
Afya Bure;
Elimu Bure;
Makazi Bora na Huduma safi..
Uongozi bora, Makini na Uwajibikaji wa hali ya juu...

NI DR W. P. SLAA....

MUNGU IBARIKI TANZANIA, TUJALIE BARAKA NA HAKI YETU IKAMILIKE.
paperclip.png
Attached Thumbnails
 
Hakika Mungua amesikia kilio cha Watanzania. Aibu yetu kaisikia. Ukombozi uko pale pale
 
Back
Top Bottom