zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 434
- 581
habari, Dunia na waganda kwa ujumla wamechoka na jina la Mseven kuwa katika madaraka, hii ishu ya Bobi wine itampeleka pabaya naona western media wameikomalia na hapa wana target yao (museven must go, kinachosubiriwa ni tamko la wakuu wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app