Rais Mseven wa Uganda, amuweka kizuizini Sejusa

Rais Mseven wa Uganda, amuweka kizuizini Sejusa

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Aliyekuwa wakati mmoja mkuu wa vyombo vya ujasusi vya Uganda, Jenerali David Sejusa, ambaye amegeuka kuwa mkosoaji mkubwa wa utawala wa Rais Yoweri Museveni, amekamatwa na kuzuiliwa katika kambi ya kijeshi ya Makindye nje kidogo ya jiji la Kampala, huku wakili wake akisema mteja wake "haruhusiwi kushauriana na yeyote wakiwemo mawakili wake." Tupe maoni yako.
 
Back
Top Bottom