Bure turudi utawala kama wa kikwete,vijana wanapata mikopo,ajira zinatoka,watu vipato vinaongezeka......kuliko kurudi uchumi wa kati wakujenga kijijini kwa rais tu,huku sehemu zingine zikibaki hoehaeWanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
Boraa kuliko kua na rais anayeua raia wake wanaomkosa,mwenye kazi ya kuchota hela hazina,na kujiamulia tu kufanya anachokitakaKuna watu hawana hata aibu asee!! Lakini kurudi madarakani Bila kuchaguliwa hii ni kinyume na katiba pia sio demokrasia.
Aliyewabatiza nyumbu aliona mbaliBure turudi utawala kama wa kikwete,vijana wanapata mikopo,ajira zinatoka,watu vipato vinaongezeka......kuliko kurudi uchumi wa kati wakujenga kijijini kwa rais tu,huku sehemu zingine zikibaki hoehae
Anapenda sana haya masuala ya diplomasia. Miaka hii ya Rais Samia utamuona sana akiwa amevalia suti nzito akiongea na watu wa jamii za kimataifa.Mhhhh hyu mzeee hata aibu hana
Kama rais mstaaafu.......unazani kikwete ni kama babu yako aliyepo chato akiwa anasherehekea uchumi wa katiYeye kama nani? Labda kama wamekutana kama marafiki, sio katika capacity ya kibalozi
Huyo ndio aliyezuia makinikia hadi kila mtanzania sasa ana Noah[emoji16][emoji16]Huyu si ndie aliyeuza gesi huyu [emoji23][emoji23]
Yale maneno yalikuwa ni ujumbe kwenda kwa Benard Membe.nakumbuka siku Jiwe anamuambia JK anawashwa washwa
Miaka 70,kwa mtu anayejielewa bado kijana sana.......uliza Biden kawa rais akiwa na miaka mingapi?Huwa anaonekana kutofurahia kuwa keshafikisha miaka 70.
Rest in hell JPM,ulale pabaya motoniR.I.P Magufuli