Rais mstaafu Dr. Jakaya Kikwete akiwa na wauza vitunguu

Rais mstaafu Dr. Jakaya Kikwete akiwa na wauza vitunguu

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,164
Reaction score
5,762
Rais mstaafu akiwa safarini kutokea Iringa alikokwenda kwenye mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Mkwawa alipata nafasi ya kuwaungisha vijana wanaofanya biashara ya vitunguu katika maeneo ya Ruaha Mbuyuni ikiwa ni kuwatia moyo vijana hao kwa juhudi wanazozifanya katika kujitafutia kipato halali.
tmp_11796-IMG_20161126_175952737845737.jpg

tmp_11796-IMG_20161126_1759482121036177.jpg
tmp_11796-IMG_20161126_1759482121036177.jpg
 
Kitu kikubwa alichokifanya JK na ambacho anastahili sifa ni kukata jina la rafiki yake fisadi.

Hapa umenena vyema, pengine bila yeye kumchinjia baharini tusingekuwa na Jembe letu tuliye naye leo hii. Kwa kwel kwa kitendo kile baadhi yetu tunamshukuru daima.
 
Back
Top Bottom