Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,762
Rais mstaafu akiwa safarini kutokea Iringa alikokwenda kwenye mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Mkwawa alipata nafasi ya kuwaungisha vijana wanaofanya biashara ya vitunguu katika maeneo ya Ruaha Mbuyuni ikiwa ni kuwatia moyo vijana hao kwa juhudi wanazozifanya katika kujitafutia kipato halali.