Alalu akishawaona hao wakulima wa vitungu whatJk Atakumbukwa kwa kulitupilia mbali lile Fisadi
Na kutupatia mtetezi na mzalendo
Mungu akuongoze zaidi Jk
We utakuwa bavicha tena mkatolikiJk haachi maigizo?
Ametoka kwenye ndege sasa barabara
Daaaa.....!!!![emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Kitu kikubwa alichokifanya JK na ambacho anastahili sifa ni kukata jina la rafiki yake fisadi.
Kitu kikubwa alichokifanya JK na ambacho anastahili sifa ni kukata jina la rafiki yake fisadi.
Tulia Jk ndio naniMungu ampe maisha marefu alifanya mengi kwa taifa sasa zamu ya jk kutenda mengi pia.