Jela kubaya usipimeMkuu mimi narudia kuangalia hiyo avatar tu. Naona kamanda mkuu kabadilika sura sana.
Jela sio mahali pazuri.
Si bora alime mahindi tu Pale kabuku au michungwani kunakubali sana mahindi,akishindwa sana apande michungwa mwaka mmoja tu anaanza kula hela ya uzeeniSasa minazi mpaka itoe Nazi nizaidi ya miaka 7,majuto bana
Well said!!Pole kwake na asante JK.
Sasa hiyo minazi itakuja kumpa faida lini na umri wote huo?
Trekta awe anakodisha apate pesa za kujikimu. Pia alime mashamba ya mazao ya muda mfupi.
Duuuh!!!Salute kipenzi chetu Jakaya
Kipenzi kwa sasa mlie muita DHAIFU.. baba ngosha endelea kuwanyoosha tu mpaka waone double double.Salute kipenzi chetu Jakaya
Kuhusu Trekta nukiwaza kana wewe mkuu..Pole kwake na asante JK.
Sasa hiyo minazi itakuja kumpa faida lini na umri wote huo?
Trekta awe anakodisha apate pesa za kujikimu. Pia alime mashamba ya mazao ya muda mfupi.
Wee Shida yako nini?? kwani kumsaidia mtu kuna masharti??Wenye shida na mahitaji pengine hata kuliko hayo ya Mzee Majuto huko Msoga, Chalinze na Bagamoyo wamemalizika? Tuanzie hapa Kwanza.
Kwa kweli......ndio wahenga wskasema 'akili ni nywele kila mtu ana zake.Pole kwake na asante JK.
Sasa hiyo minazi itakuja kumpa faida lini na umri wote huo?
Trekta awe anakodisha apate pesa za kujikimu. Pia alime mashamba ya mazao ya muda mfupi.
Na tezidume ataendeshaje hilo trekta? Hiyo minazi hadi aje kugema ni lini?Sasa minazi mpaka itoe Nazi nizaidi ya miaka 7,majuto bana