Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete apewa tuzo ya TMA ya kukuza wasanii, apiga simu jukwaani

Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete apewa tuzo ya TMA ya kukuza wasanii, apiga simu jukwaani

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Rais wa awamu ya nne mzee Kikwete amepewa tuzo maalum ya kukuza muziki na kulea wasanii wakati wa utawala wake .

Amewakiliswa na mwanawe Miraji Kikwete jukwaani na kupiga simu kushukuru kwa kuwa hakufika baada ya kuwa na majukumu mengi ya kiutendaji.


USSR
 
Miraji Amekaa ki Teja Teja .......

Huyu Bwana Ndio Linex na Recho walimuimbia wimbo siku ya Harusi yake wimbo Ukiitwa Ndia au Harusi.

 
Back
Top Bottom