Sio amekaa kiteja Teja....Miraji Amekaa ki Teja Teja .......
Huyu Bwana Ndio Linex na Recho walimuimbia wimbo siku ya Harusi yake wimbo Ukiitwa Ndia au Harusi.
Wenye pesa hawajui kuvaaKama sio chalii ya raisi mwenye doo zake, mwamba kapiga msuti wa kiwaki kinoma.
Mo na kina Gsm mbona wanavaa safi kabisa, ni hulka ya mtu tu.Wenye pesa hawajui kuvaa
Sasa moo na huyu miraji wana vyeo sawa?Mo na kina Gsm mbona wanavaa safi kabisa, ni hulka ya mtu tu.
Umeongelea utajiri sio vyeo.Sasa moo na huyu miraji wana vyeo sawa?
Haya.Umeongelea utajiri sio vyeo.
jifunze nidhamuMiraji Amekaa ki Teja Teja .......
Huyu Bwana Ndio Linex na Recho walimuimbia wimbo siku ya Harusi yake wimbo Ukiitwa Ndia au Harusi.
sizan kama familia yako inahusika na unachosemaMutu makini hazina ya taifa uishi miaka 1000.mzee w msoga.
Mm na familia yangu tunakuombea uzima na afya tele.